Mtukutu wa Nyaigela
JF-Expert Member
- Sep 4, 2018
- 8,013
- 14,263
cha bandia upeleke wapi mkuu. acha mambo yako wewe uza vyotekidole bandia ni shngp?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
cha bandia upeleke wapi mkuu. acha mambo yako wewe uza vyotekidole bandia ni shngp?
Yani me nashangaa kumbe utajiri tumeukalia na tuna tembea nao 😢😢Hali ya baba wa taifa ni ngumu.
Dah huyu jamaa fala sana 🤣🤣🤣Mambo mengine kutiana majaribuni tu[emoji16][emoji16][emoji16].
Hivi toka unazaliwa umeshawahi kuona kazi ya kidole gumba cha mguuni kweli!!!mkononi ni kutype ktk smartphone[emoji23]
(Kama hii habari ni kweli)Hio pesa hata ukiweka mipango haiwezi kukaa,kumbuka inaenda kufanyiwa kazi za kishirikina huwezi kubaki salamaNi pesa nyingi ila ya majuto baadae.
Nadhani wengi wanaokatwa na kuuza hivyo vidole hawana mipango na hizo pesa.
Matokeo yake pesa inaisha na hujafanya cha maana.
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]Kwamba serikali yao haioni mpaka uishauri? Usishangae ya Zimbabwe, si ajabu yakaja na Tz, maana upuuzi wowote ndio tunaoukimbilia.
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Yani hapa ndo naanza kumuelewa msanii wa kizazi kipya roma mkatoriki kwenye kibao chake #narudiZimbabwe kumbe siri akutuambia kwanini anataka kurudi Zimbabwe [emoji1269]
Mateja watamaliza vidole vyoteNi pesa nyingi ila ya majuto baadae.
Nadhani wengi wanaokatwa na kuuza hivyo vidole hawana mipango na hizo pesa.
Matokeo yake pesa inaisha na hujafanya cha maana.
Umejuaje ni ushirikina(Kama hii habari ni kweli)Hio pesa hata ukiweka mipango haiwezi kukaa,kumbuka inaenda kufanyiwa kazi za kishirikina huwezi kubaki salama
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]ujinga + umasikini
MubasharaNilijua masihara kumbe wapo live
Kuna mtu yupo zim nmemgusiaMimi nimesoma upuuzi huu ila Hakuna mahali BBC Swahili wamesema ni wazungu wewe umezisoma wapi hizi habari
Napenda habari kamili na vyanzo vya uhakika Sasa wewe unanirudisha kusoma ukifikiri umejibu hoja
Leta habari kamili nijiridhishe ila habari za WhatsApp ni porojo tu
Hizi habari ni utani sio za Kweli
Muwe mnajiridhisha kwanza kwa kuchimba deep
Huwa sikurupuki kuamini mpaka nimetafuta vyanzo vyake
Na wewe kajiridhishe sasa kabla ya kujibu hoja
Sasa waache wabongo wafyeke vidole vyao wakauze waone kama watauzaMimi nimesoma upuuzi huu ila Hakuna mahali BBC Swahili wamesema ni wazungu wewe umezisoma wapi hizi habari
Napenda habari kamili na vyanzo vya uhakika Sasa wewe unanirudisha kusoma ukifikiri umejibu hoja
Leta habari kamili nijiridhishe ila habari za WhatsApp ni porojo tu
Hizi habari ni utani sio za Kweli
Muwe mnajiridhisha kwanza kwa kuchimba deep
Huwa sikurupuki kuamini mpaka nimetafuta vyanzo vyake
Na wewe kajiridhishe sasa kabla ya kujibu hoja
Kuna mtu yupo zim nmemgusia
Kaniambia ni blh blh tu
Ova
Sasa waache wabongo wafyeke vidole vyao wakauze waone kama watauza
Ova
Yaani wakija huku nadhani wabongo wengi watauza vidole voteHuku bongo hawaji? Maana &7000 huwez ziacha
Huo mfano uliotoa ni irrelevantHata kama ni hiari yao ila ni Kosa. Kama huamini mtongoze mwanafunzi wa form four ukimpa mimba kasema mahakamani alikubali kwa hiari baada ya hapo jaji atakuachia uondoke