serio
JF-Expert Member
- Apr 15, 2011
- 7,340
- 4,734
Hela yako inapotea mamaee..Dah hapo sijajua mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hela yako inapotea mamaee..Dah hapo sijajua mkuu
Wafanyie marekebisho hayaHela yako inapotea mamaee..
Nimepiga simu halmashauri husika nimeambiwa niende wanipe utaratibu wa kumalizia hiyo balance..Wafanyie marekebisho haya
Poa poa utafuatilia kabisa na hati sio? Utatujulisha gharama piaNimepiga simu halmashauri husika nimeambiwa niende wanipe utaratibu wa kumalizia hiyo balance..
Mkuu nimenunua kiwanja nishalipa nusu nawaza kama nikienda halmashauri watakubali kuniongezea muda wa kumalizia kulipa vipi walikupa jibu gani ???Nimepiga simu halmashauri husika nimeambiwa niende wanipe utaratibu wa kumalizia hiyo balance..
Usisahau kutupa mrejesho piaMkuu nimenunua kiwanja nishalipa nusu nawaza kama nikienda halmashauri watakubali kuniongezea muda wa kumalizia kulipa vipi walikupa jibu gani ???
Wewe waache tu, hawajui kuwa onsite verification ni moja ya hatua kwenye conveyancing. Watakuja kulio kilio kikuu.Unajuaje kama kiwanja ni salama.
Unajuaje kama kuna huduma zote za kijamii, maji, umeme, Barabara
Unajuaje kama hakuna mafuriko
Unajuaje kama kiwanja hakina migogoro
Una hoja mkuu, lakini ninafikiria inawezekanaje serikali iuze kiwanja chenye mgogoro! Inawezekanaje serikali iuze kiwanja kwenye maeneo hatarishi Kwa mafuriko n.k, najiuliza tu inawezekanaje!! Yani serikali badala ya kuleta usitawi Kwa wananchi wake ilete utapeli! Tutakuwa hatuko salama kabisa ikiwa ni hivo.Unajuaje kama kiwanja ni salama.
Unajuaje kama kuna huduma zote za kijamii, maji, umeme, Barabara
Unajuaje kama hakuna mafuriko
Unajuaje kama kiwanja hakina migogoro
Hivyo viwanja venye mgogoro kuuzwa na serikali au halmashauri ni kitu cha kawaida mno. Vyombo vya habari vimeripoti kwa miaka mingi, Migogoro ya ardhi ya Dar, Pwani na Dodoma ambapo wananchi wameuziwa viwanja na serikali na watu wa ardhi wa mkoa au halmashauri na wanapata hati na bado wanakutana na shida za migogoro ya ardhi.Una hoja mkuu, lakini ninafikiria inawezekanaje serikali iuze kiwanja chenye mgogoro! Inawezekanaje serikali iuze kiwanja kwenye maeneo hatarishi Kwa mafuriko n.k, najiuliza tu inawezekanaje!! Yani serikali badala ya kuleta usitawi Kwa wananchi wake ilete utapeli! Tutakuwa hatuko salama kabisa ikiwa ni hivo.
Inawezekana na inatokea sana kila leo. Kikubwa kinachosababisha mgogoro ni double allocation, hii hufanywa kwa makusudi-pesa, na muda mwingine huwa ni bahati mbaya sababu serikali haina maeneo ya kufanya upimaji-surveying kwa urahisiUna hoja mkuu, lakini ninafikiria inawezekanaje serikali iuze kiwanja chenye mgogoro! Inawezekanaje serikali iuze kiwanja kwenye maeneo hatarishi Kwa mafuriko n.k, najiuliza tu inawezekanaje!! Yani serikali badala ya kuleta usitawi Kwa wananchi wake ilete utapeli! Tutakuwa hatuko salama kabisa ikiwa ni hivo.
Mafinga imekua overpricedNimepitia hiyo portal kuna baadhi ya maeneo hayaakithi uhalisia wa bei... Kwa tafsiri ya kwamba bei zake zipo juu sana
Na wap wamekaza ubongo kushusha beiMafinga imekua overpriced
SanaMafinga imekua overpriced
Mimi nashindwa kununua kiwanja online kupitia Tausi sioni option ya kupata namba ya malipo pia sioni vipimo vya kiwanja husika. Naomba maelekezo please.Tausi.
Umesema hapa kuwa Kuna viwanja vya halmashauri haviingii kwenye mfumo wa Tausi kwa ajili ya kuuzwa kwa wananchi naomba uweke ushahidi ili ijulikane kuwa mfumo wa Tausi unamapungufu na developer wafanyie kazi hayo Mapungufu.