#COVID19 UVCCM: CCM imchukulie hatua Askofu Gwajima kwa kuhamasisha Watanzania kukataa chanjo ya Uviko-19
Endeleeni kumtengeneza dikteta,,hivi uraisi ni milki ya chama kimoja au mtu 🤣,,kwahiyo kila mtu anaeonyesha 'vijichokochoko' ashughulikiwe?🤣 ,Basi wakamateni wote au waueni mbaki na nchi yenu
 
Nchi hii ina watu wa ajabu sana, mzee ufufuo na uzima, siyo panya wa maabara wa kufanyia majaribio. Mungu kaona, kombora laja, aliyekenua atalia, na aliyelia atakenua.
 
Endeleeni kumtengeneza dikteta,,hivi uraisi ni milki ya chama kimoja au mtu 🤣,,kwahiyo kila mtu anaeonyesha 'vijichokochoko' ashughulikiwe?🤣 ,Basi wakamateni wote au waueni mbaki na nchi yenu
Chadema na wanachama wake wanapenda haya mambo ya udikteta wafanyiwe wabaya wao,ila wao wakiguswa wanataka tulie wote
 
Hizo ni tuhuma zisizo kuwa na ukweli! Gwajima hawezi kuwa Rais 2025 hivi hivi!

Jamani Gwajima ametoa mawazo na maoni yake,hakuna anayelazimishwa kufuata maoni yake.

Una hiari ya kuchanjwa au kutochanjwa.
 
Sioni ubaya mtu kutoa maoni yake. Watanzania lini tutajifunza kuvumilia mawazo mbadala?
 
Habari!

Niliandika uzi kuwa mbunge wa Kawe ana nia ya kugombea Urais 2025. Na kwa mujibu wa mifumo ya CCM 2025 ni zamu yako tena Mh. Samia Suluhu kugombea Urais.

Huyu Gwajima mtu mwenye nguvu na mjanja sana, kavipiga vita vingi na kushinda. Usipojifunga kiume umdhibiti mapema huyu Askofu Gwajima atakuharibia njia na kukimegamega chama chenu nasi wapinzani tutashangilia maana huwenda tukapata mpenyo.
Usimuamshe aliye lala
 
Back
Top Bottom