UVCCM Chato: Hatutaruhusu kuona hata hatua moja ya Tundu Lissu ikikanyaga Chato. Tupo tayari kwa lolote

Sasa mbona hapo Chato Tundu Lisu ndio alipata kura nyingi kuliko naniliu?!🤣🤣
Hao wahuni wa uvccm watakuwa wanatumika tu. Hawajitambui
Ni kana kwamba wapo juu ya Katiba ya nchi.
Hata rais hana hayo mamlaka wanayofiiri wanayo
 
Kwani chato ni Mali au shamba la magufuli? Mbona hukohuko chato CHADEMA ni wengi kuliko magamba ya kenge
 
Lissu aachane na Magufuli.Jinsi alivyomtukana leo anamuona anafaa?
 
Kuzaliwa Tanzania ni raha sana. Yaani Mtanzania anamzuia Mtanzania asikanyage Tanzania
 
Unataka niandike unavyotaka wewe? Tuko tofauti, wengine tuna akili wakati wengine hamna
Ndio nasema something wrong somewhere, umeandika nini kama sio upumbavu?
Nani umeona hana akili? Mpuuzi wewe!
 
Daaaa!Binadamu omba Sana MWENYEZI Mungu akupe akili na utashi. Hawa Jamaa Uvccm akili hakuna na utashi hakuna
Daaaa!Binadamu omba Sana MWENYEZI Mungu akupe akili na utashi wa kutukana bila woga na hata aibu..
Huyu Jamaa hakumbuki jana alisema nini na hao uliowatukana utegemee wakupokee kwa makaribisho ya upendo na shangwe.

akili hakuna na kumbukumbu hakuna.
 
Wao wanatumwa na CCM kufanya huu ujinga
Halafu mnageuka na kutaka kufanya siasa za kistaarabu!! Sheria ni kwa wote lakini Serikali ya ccm inafanya kuwa ccm na taasisi zake they are above the law!!! CCM mtaanzisha fujo nchini na damu kumwagika!! You as a party will be accountable na Wassira will one day have to answer in a court of law for his incitement!
 
ukiwa na uelewa mdogo utashtuka kuwa UVCCM na TAL ni sawa na wasanii ali na naseeb.
 
Mnashindwa kuelewa, Lissu alimpinga Magufuli kwa Yale ambayo Magufuli alikosea na si vinginevyo. Hii haihusiani kabisa na kukubaliana nae kwa yale aliyopatia
 
Nakazia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
CCM vs CDM liamsheni tuone nani ni nani
Mna kelele nyingi matendo ziro.
 
Kudhuru kaburi ni tendo la kiibada hivyo kama familia ya Magufuli imeridhia Tundu Antipas Lisu adhuru kaburi la Mpendwa wao sioni Sababu ya UVCCM Walio katika Dini mbalimbali kuingilia Kati

Ukristo ni Upendo na Msamaha!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…