UVCCM Chato: Hatutaruhusu kuona hata hatua moja ya Tundu Lissu ikikanyaga Chato. Tupo tayari kwa lolote

Kama akili ya yule anaitwa Kawaida ndo mwenyeki wa UV CCM Taifa je hao wa Wilaya watakuwa na Aina gani ya akili?
 
Samia unaipasua Tanzania. Sidhani kama hao unaowategemea watakubali Tanganyika imezwe na haya ya bandari, mbuga, Na mauchafu mengine unayoifanyiaTanganyika
 
Najaribu tuu kukusaidia maana awali ulikuwa unaandika vitu vya maana, ghafla unatoa pumba! Wewe ndio wa kumkebehi Lissu?
Unataka niunge mkono hata ujinga wa Lissu? Hapana usiishi kwa kukariri!!
Lissu amekosea sana lugha aliyotumia kumkosoa Rais Samia. Kama uko na Lissu kwenye hili basi kichwa chako ni cha kufugia nywele
 
Ndio nasema something wrong somewhere, umeandika nini kama sio upumbavu?
Nani umeona hana akili? Mpuuzi wewe!
Wewe Chakaza huna akili. Unaishi kwa upepo wa mtu. Maadam Tundu Lissu ni kiongozi wako unakubali hata maujinga yake.
 
Siyo uendeshaji wa vyama vya siasa tu bali hata nchi mambo mengi wananchi wanafanokisha kwa juhudi zao binafsi siyo kwakutumia mifumo iliyo rasmi .The main reason of failures is unconnected structures of government machinery
 
Wewe Chakaza huna akili. Unaishi kwa upepo wa mtu. Maadam Tundu Lissu ni kiongozi wako unakubali hata maujinga yake.
Mpaka umenifanya nirudi kuangalia profile yako na nimegundua sio hawa watoto wa juzi. Sasa shida yako nini mbona hspo awali hukua na akili za kijinga namna hii?
Lissu sio kuwa namkubali binafsi bali hoja zake. Sasa mbona wewe unaonekana kama una chuki binafsi naye? Kama ni hivyo basi mambo yenu binafsi usiyaingize kwenye hoja zinazojadiliwa na wengine.
 
Bado tu huna uwezo wa kuelewa maana yake?
Haya kaingia Chato na karudia yaleyale mnayoita nyie matusi lakini wana Chato wamemuelewa na kumpongeza huku wakimuombea dua!
Amefanikiwa kuhiji kwenye kaburi au ile ilikuwa geresha yake tu😂?
 
1. Hotuba imeandikwa na mtu mwingine halafu yeye anasoma na ndiyo maana anababaika tu..

2. Ushahidi gani tena polisi watataka kwa waliochoma gari la msafara wa Tundu Lissu moto na kuurushia mawe msafara wake leo huko Chato kama siyo huyu jamaa na hao vijana walio nyuma yake?

Wakamatwe hawa, wafikishwe kwenye vyombo vya sheria na walipe gharama ya hasara walioisababisha ili iwe fundisho kwa wengine kujifunza nini cha kusema na wapi..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…