Uvujaji wa taarifa nyeti: Je, TISS kuna tatizo?

Uwezo wako wa kufikiri na kuchambua mambo ni mdogo sana Kigogo2014 alikuwepo toka awamu iliyopita ya nne ila nyinyi saccos mnapapalika bure na huyo kigogo mara nyingi tu anawaingiza chaka! Poleni.
Tatizo lenu hamkomi, this time mnakwenda na maji
 
[emoji23]
 
Wape za uso hao
 
Usikute wewe ndiyo kigogo
 
Hopeless comment hii. Uwezo wako wa kufikiri ni mdogo sana.
 
Napenda Sana kuwa hacker,,
Siku ntakayoweza kuhack CCTV ya sehemu yeyote ,smart TV,simu,,nitachinja ng'ombe
 
Nakujibu namba 3.
Kama umesoma sayansi ya maandishi ghaphology,na ukipitia makala zake ,ni rahisi kugundua huyu so mtu mmoja.
Hoja zako zinajibika kirahisi.
Mengi uliyoyauliza hua anaandika mwenyewe kule twitani na mabandiko anaweka.
 
Poor post
 
Kigogo ni TISS wa kuwachezesha sebene bavicha...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…