Uvujaji wa taarifa nyeti: Je, TISS kuna tatizo?

Uzuri wake ni kwamba anavujisha kabla hila za CCM halafu inavurugika
Ngoja nirudi twitter kumsoma kigogo, maana nondo zake sio za dunia hii.

Mm nachomsifia kautonya umma juu ya mipango haramu juu ya Mbowe na sasa wanaona aibu jinsi ya kuileta kwa hadhara.
 
Sijaona ushauri. Nikajua 40 za kigogo 2014 zimefika kumbe upupu tu.

TISS we iache tu.
 
Kigogo Ni mwongo mi nlishaachaga kufuatilia post zake huko tweetani,kunasiku kamzushia kifo mama mmoja anawadhifa serikalini Ni jiran yetu hapa eti amekufa kwa covid 19 na familia yake wamelazwa 🙂🙂
 
Hapoa sijaona hata ushauri pumba tupu tuu. Sijaona athari za huyo kigogo acha aendelee na maisha yake ashapuuzwa tuuu.
 
Kigogo Ni mwongo mi nlishaachaga kufuatilia post zake huko tweetani,kunasiku kamzushia kifo mama mmoja anawadhifa serikalini Ni jiran yetu hapa eti amekufa kwa covid 19 na familia yake wamelazwa [emoji846][emoji846]
Uliweka evidence kuonesha sio sahihi?
 
Uliweka evidence kuonesha sio sahihi?

Mtoto wa huyo mama aliweka evidence na kuthibitisha wako fine,ningeweka mm isingesaidia.Kigogo mda mwingine anacheza na akili za watu kwa mfano ile ishu za tuhuma ya mbowe zilizotolewa na wabunge walio Hana chama,hata mtoto mdogo angejua what next
 
Hivi mtu anayejielewa atapoteza muda kumtafuta mtu ambaye hajulikani?

Huyo ni mropokaji tu
Ona unavyoyavaa mabomu ya kuwalipua ccm wenzako! Kumbe mawaziri na hata wakuu wako wa ccm walioagiza kigogo asakwe kwa gharama yoyote hawajielewi?
Hebu weka hapa sifa za mtu anayejielewa aliyepo ccm tumjue! Bora leo umeamua kuuishi ubinadamu wako na ccm wanaoagiza kukamatwa kwa kigogo wamekuelewa!
 
kwakuwa anayooandika huyo kigogo hayazuii barabara, reli,meli, hospitali, shule na n.k kujengwa wacha aandike tu, wananchi wanaona
Wananchi hawapo kuona maflyover Wala mabarabara yanayojengwa Bali wanataka kuiona uchumi Bora na umaskini wa kipato unaondoka! Acha kuwasemea wasiyoyahitaji!
 
TISS haipo simple kama mnvayo ichukulia. Ina watu smart na wenye IQ kubwa sana na wanatenda kwa sehemu zao kwa weledi wa hali juu,vivyo hivyo kuna vichwa maji mle na ndio wanaipaka idara matope ya mavi...
Nakubaliana na wewe. Mle kuna agents smart sana, pia kana mazwazwa sana yaliyotokea Uvccm na waloajiriwa kimjomba
 
Wananchi hawapo kuona maflyover Wala mabarabara yanayojengwa Bali wanataka kuiona uchumi Bora na umaskini wa kipato unaondoka! Acha kuwasemea wasiyoyahitaji!
uchumi bora pia unapatikana kwa kuwa na miundo mbinu bora ili kurahisisha bidhaa au mazao kufika sokoni haraka na kwa wakati ili muuzaji auze na kurudi shamba kuendelea na shughuli nchi zote zenye uchumi bora zina miundo mbinu bora pia, kuhusu umasikini wa kipato huisha kwa kufanya kazi tu ni serikali chache duniani zinazotoa hela bure kwa watu wake bila kufanya kazi, nakushauri achana na kuzungusha mikono chapa kazi.
 
kwa mfano kigogo mm namuona ni mzalendo wa kweli. na anaipenda tanzania. kama kigogo angekuwa ni mtu mbaya angewaua wote anao wapinga kwa7bu siri zao zote anazo kiganjani. kwamba wanalala saa ngapi wanakula nini nk.
 
Wanaomfatilia kigogo hawana tofautina zama za Mange, upupu mtupu. Hakuna siri yoyote zaidi ya umbea, na sisi kwa kupenda umbea hata hatuchuji mambo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…