Ahmad Abdurahman
JF-Expert Member
- Mar 5, 2016
- 3,251
- 6,299
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngoja nirudi twitter kumsoma kigogo, maana nondo zake sio za dunia hii.
Mm nachomsifia kautonya umma juu ya mipango haramu juu ya Mbowe na sasa wanaona aibu jinsi ya kuileta kwa hadhara.
Eti anamwambia Dotto anahakikisha atatembea na Panadol kwenye koti maana atamtia maumivu ya kichwa kutwa mara 3Na kasema June atawasomesha namba mpaka waombe poo [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kidogo ni kati ya watu wanaoitwa 'wasiojulikana'? This is more than terrible?Hivi mtu anayejielewa atapoteza muda kumtafuta mtu ambaye hajulikani?
Huyo ni mropokaji tu
Sijaona ushauri. Nikajua 40 za kigogo 2014 zimefika kumbe upupu tu.Naomba niwashauri idara yetu nyeti ya TISS kuhusu jinsi mnavyomfuatilia Kigogo2014 ili kumweka mikononi mwenu kwa sababu ya kutoa siri nzito nzito za Serikali.
Niwaeleze ukweli kwamba, Kigogo2014 hamuwezi kumkamata hata iweje kwa sababu Kigogo siyo mtu mmoja bali ni syndicate kubwa ndani ya syndicate nzito na yenye nguvu kubwa.
Inasemekana zimetumika zaidi ya Bil 1.4 kumsaka Kigogo, mmeshindwa kubaini ukweli na badala yake mnazidi kupoteza pesa za umma kumsaka mtu ambaye hamuwezi kumpata.
Ujio wa Kigogo umesababishwa na uwepo wa utawala mbovu, unaominya haki za Binadamu Uhuru wa Habari, Demokrasia na uharibifu mkubwa wa uchumi.
Badala ya kujikita kwenye kuleta maendeleo, awamu ya Tano imetumia Pesa za umma kununua wapinzani na kuvuruga Demokrasia.
Ajira ya TISS imejikita zaidi kwa vijana wa UVCCM na siyo kwa intelligence experts, sasa watu Kama hao watawezaje kumpata mtu mwenye level ya Mossad na CIA?
Uongozi hauhitaji mabavu bali hekima, unapoamua kuwa mbabe na kwa sababu unawaongoza siyo mbuzi, ni watu wenye akili zao, tarajia kukutana na ma whistle-blowers wengi.
Na mwisho wa siku utashindwa tu, tatizo lenu mnatumika kisiasa sana, yaani mpo kwa ajili ya kuhakikisha CCM inatawala milele na siyo kwa ajili ya ustawi wa nchi.
Awamu hii hii ya Tano inayosifika kwa kukamata wakwepa kodi, kuna kampuni nyingi tu nazijua na nina ushahidi mkubwa kuwa zinakwepa kodi. Ajabu eti serikali makini haijui, ila serikali hiyo hiyo inajua ni lini Mbowe atafanya mkutano wa ndani ili waweze kumdhibiti asichafue amani ya nchi, kichekesho kweli.
Kama Trilioni 1 ilipotea na CAG akatolewa kwa kusema ukweli, basi acha watu wakwepe kodi. TISS wapo bize kuwarekodi kina Steve Nyerere wakiigiza sauti ya Mbowe anamnyanyapaa kimapenzi mbunge wa Chadema (jina linahifadhiwa)
Yaani badala ya kufanya mambo ya msingi kwa Taifa mnatumika na mambo ya hovyo, baada ya Kigogo kuwavua nguo huko Twitter sidhani kama bado mnaendelea tena na hujuma dhidi ya Mbowe.
Fanyeni ishu za maana kwa Taifa, acheni roho ya usaliti kwa Taifa, vinginevyo mtadukuliwa mno.
Long live Kigogo2014.
Hapoo ndo wengi wanampendea. Afu badae wanaona aibu inawalazimu kuairisha wam-prove wrong.Uzuri wake ni kwamba anavujisha kabla hila za CCM halafu inavurugika
Uliweka evidence kuonesha sio sahihi?Kigogo Ni mwongo mi nlishaachaga kufuatilia post zake huko tweetani,kunasiku kamzushia kifo mama mmoja anawadhifa serikalini Ni jiran yetu hapa eti amekufa kwa covid 19 na familia yake wamelazwa [emoji846][emoji846]
Uliweka evidence kuonesha sio sahihi?
Ona unavyoyavaa mabomu ya kuwalipua ccm wenzako! Kumbe mawaziri na hata wakuu wako wa ccm walioagiza kigogo asakwe kwa gharama yoyote hawajielewi?Hivi mtu anayejielewa atapoteza muda kumtafuta mtu ambaye hajulikani?
Huyo ni mropokaji tu
Wananchi hawapo kuona maflyover Wala mabarabara yanayojengwa Bali wanataka kuiona uchumi Bora na umaskini wa kipato unaondoka! Acha kuwasemea wasiyoyahitaji!kwakuwa anayooandika huyo kigogo hayazuii barabara, reli,meli, hospitali, shule na n.k kujengwa wacha aandike tu, wananchi wanaona
Nakubaliana na wewe. Mle kuna agents smart sana, pia kana mazwazwa sana yaliyotokea Uvccm na waloajiriwa kimjombaTISS haipo simple kama mnvayo ichukulia. Ina watu smart na wenye IQ kubwa sana na wanatenda kwa sehemu zao kwa weledi wa hali juu,vivyo hivyo kuna vichwa maji mle na ndio wanaipaka idara matope ya mavi...
Duuuh kavuta mpunga kumbe ndoo maana katulia!!Mange wametumwa mpaka watu Marekani! Mahiga R. I. P kafanya transaction Mange kapoa ! we endelea kujifungia kwenye korido za lumumba huna unachojuwa!
uchumi bora pia unapatikana kwa kuwa na miundo mbinu bora ili kurahisisha bidhaa au mazao kufika sokoni haraka na kwa wakati ili muuzaji auze na kurudi shamba kuendelea na shughuli nchi zote zenye uchumi bora zina miundo mbinu bora pia, kuhusu umasikini wa kipato huisha kwa kufanya kazi tu ni serikali chache duniani zinazotoa hela bure kwa watu wake bila kufanya kazi, nakushauri achana na kuzungusha mikono chapa kazi.Wananchi hawapo kuona maflyover Wala mabarabara yanayojengwa Bali wanataka kuiona uchumi Bora na umaskini wa kipato unaondoka! Acha kuwasemea wasiyoyahitaji!
Nikwambie kakitu Rebeca 83?, Sogeza sikio nikunong'oneze..... Kigogo2014 anaamika zaidi kuliko serikali inavyoaminikaWamegundua walimptisha jiwe badala ya mtu, So wanatoa frustrations zao mtandaoni...