Kila siku wanawaita CDM wanaharakati, hawajui haya matendo yao ya hovyo ndio yanayowafanya CDM waamue kupigania haki zao kwa nguvu, na kwao mtu akilazimisha kutaka apewe haki yake anaitwa mwanaharakati au analeta vurugu, ni vyema watambue, mpaka siku watakapokoma kuonea wengine ndio hizo wanazoziita harakati za CDM zitakoma, vinginevyo hizo harakati zitaendelea tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…