Kweli mimi siyo mwanamke aliye sawa sawa. Mimi ni mwanamke na robo tatu.


Hahahahahaha Kumbe unajua kujimwabafai. Asante WAKE ZETU WA JF mnanogesha japo humu mpo wachache .

Washawishi wengine muongezeke, Wote nyie ni washabiki wa upande mmoja au mwingine, but to my surprise all women who are members are always have some how a balanced opinion, na opinions zote ikipungua sana zina chembe ya AKILI, sio opinions tupu kama wanaume wenzangu. Huwa napata taabu wanawatukana. poleni.
 
[emoji38][emoji38]link hatukupi wewe angalia msiba wa Raisi wako

😃😃😃
Nimekupata moja naangalia.. nakwona ni ya nje..
Naona pamebafurika hapo.. kura asilimia 0.25% ya 2020
 
Sema CHADEMA nao hawajitambui yaani wameshindwa kurusha live
 
Corona ipo. Nina ndugu amefariki na 4 wako hospital wanatetea uhai. Sasa hivi naelekea Taifa kuaga mwili na nitavaa Barakoa bila hofu. Afya ni yangu na uhai ni wangu ni lazima nijilinde. Propaganda hazina nafasi kabisa kwenye maisha yangu
 
Magufuli akiendelea na utulivu huu wa kutowasumbua wapinzani atapata heshima.
Nadhani mzee alikuwa anakula Information za hovyo kutoka kwa Dogo yule; I hope mzee atakuwa hivi from now onwards, labda wapinzani wapitilize kupindukia hapo anaweza tumia power, Possibly ila kama harakati za kawaida watafanya siasa zao vizuri.
 
Karibu Lisu Mungu ni mwema
 
Corona ipo. Nina ndugu amefariki na 4 wako hospital wanatetea uhai. Sasa hivi naelekea Taifa kuaga mwili na nitavaa Barakoa bila hofu. Afya ni yangu na uhai ni wangu ni lazima nijilinde. Propaganda hazina nafasi kabisa kwenye maisha yangu

Huko Taifa umelazimishwa kwenda.?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…