Ungethubutu kuwaua uone kwani wananchi nao walikuwa na bastora zao wangekufyekelea mbali kisha viongozi wako wote wanapelekwa mahakama za uhalifu The Hague
walishapata taarifa mapema hao polifisiem, wangejaribu tu kulianzisha leo ilikuwa iwe siku ya fundisho kwao, we bwabwaja tu hapa hujui wazalendo tulijipangaje
 
mbona unashadadia huo ukilema wake? Kama kilema hana sifa ya kuongoza watanzania mbona kwenye baraza lenu la mawaziri kuna walemavu?

Au leo hii unataka kutuaminisha kuwa rais alifanya makosa kumteua huyo waziri kisa ni mlemavu?
Ndugu zangu nawaomba sana achaneni na maneno ya dhihaka. Kumbukeni hujafa hujaumbika.
 
Yaani sisi tuko Uwanja wa Taifa, tunaomboleza, alafu wengine wanasherehekea kumpokea Lissu, hii sio sawa, CDM wanaharibu msiba wa Taifa kabisa, i wish i could be IGP.. [emoji28][emoji28][emoji28] ingekuwa story nyingine saa hz..[emoji28]
Hebu wacha ujinga weweeeeeee
 
Minyoo nipo tumboni mwako nimekutia njaa maradhi ya Akili huwezi kunywa tangawizi utakufa kwa Corona tu huku ukiimba Beberu utazani wewe ni mbuzi jike.
Najua leo umehongwa vocha na nauli ya bodaboda kuiimba pambio ndiyo uzuri wa malofa,ukiyaambia yajiandikishe kupiga kura hayajiandikishi kazi kulialia tu.
 
Yaani bafuasi wa Chadrama.. hamuna hata ku smati foni.. murekodi kulaivu.. mutuonyeshe.. 😃😃😃😃😃

Ruzuku na ya leo.. tekinolojia.. mupo kama senchari ya 10.. mumetia aibu..

Mbowe kuwapi? Kugilti sio

😃😃😃😃😃 ruzuku kumufuko.. chadrama ya familia.. mutajua tu..
 
Sana Mkuu kwani wengi tulidhani tumempoteza Lissu siku ile ya Sept 7, 2017 lakini leo katua Nchini na TABASAMU kubwa sana mtu wa watu pamoja na UNYAMA na USHENZI mkubwa aliofanyiwa lakini bado anatabasamu tena tabasamu ya NGUVU.
Tumeambiwa tushukuru kwa kila jambo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…