Nimekuelewa. Na ndo maana nikasema kuwa hakuna ugonjwa uitwao UKIMWI. Au upo?

Unapopungukiwa na kinga za mwili, unakuwa susceptible kwa magonjwa mengi.

Na mwishowe hayo magonjwa ndiyo yatakuua.

Sasa ukiugua cryptococcal meningitis ambayo umeipata kutokana na kuwa na kinga hafifu mwilini, ukifa unataka watu waseme umekufa kwa UKIMWI au maambukizi kwenye uti wa mgongo?
 
Tuombe mdahalo kati ya Lissu na Magufuli. Kama alipokuwa hayuko kwenye mdahalo aliita ma- Air Hostess ''Air Hostages'' siku hiyo ya mdahalo hata kisukuma kitamshinda.
Unaona tofauti na mzee wa MIGA inaeleweka kazi ya Magufuli inachanganya wengi mwishowe ni personal issues, it was slip of the tongue.

Got to run my errands ‘I’ll be back’ in terminator’s voice.
 
Hivi ccm watakua wanaoneshaje uchumi wa kati watakaporudi kupiga push up kwa wananchi?
 
Anasema wengine wanamshauri airud kwa kuwa amenusurika Ila anasema hivi mjane wa Ben saanane Mawazo Akwilini n.k hao wote wamepotea ila yeye ana bahat hivyo anatuasa tusikufuru sana ila tumshukuru Mungu kwa wema wake kuwa yupo hai
Watu wanashangilia
 
Umet Umetumwa nini??
 

Unachekesha walionuna.
 
Anasema Mandela alizungumza kwenye chama cha ANC wakat amepigwa marufuku asikutane na watu zaidi ya watano
Alisema UNAWEZA UKAONA HAKUNA NJIA YA KUUFIKIA UKOMBOZ ILA ...ILA CHAMA CHETU KIMEPITIA UVULI WA BONDE LA MAUTI
 


Leo hatuwezi sahau chadema tumeandika ukurasa mpyaaa...msiba umepotezwa yaani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…