Uwezo wa Waziri Ndumbaro ni Mdogo Sana

Hana akili, hapo ataajiri walinzi kukamata waliovaa jezi za al ahly
 
Ndumbaro alipata ubunge kwa sababu JPM alikuwa hamtaki Nchimbi, kwa sasa Nchimbi ndio the bigboss, kwa Ndumbaro, anajua nini kinafuata
 
Kwani Uwaziri ni kazi inayohitaji Elimu kubwa ??!
Maana nilimsikia Mhe Kikwete Enzi zake akisema hakuna Chuo cha Uwaziri !
Nikajua yeyote anaweza kuwa Waziri. !
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…