Uwezo wa Waziri Ndumbaro ni Mdogo Sana

Mh. Umeamua uingie mwenyewe kujitetea maana haya mawe unayotupiwa siyo ya kitoto.
 
Eti ID Fake. Kwani wewe DAMA2025 ndiyo jina lako la NIDA? Wewe Ndumbaro huma hata uwezo wa kubishana JF, hebu tupishe tu
Tatizo ni inferiority complex uliyonayo ndio inakusumbua. Labda tukuulize, ww uwezo wako ni upi uliolifanyia taifa hili,popote pale ili tujue kuwa una uwezo. Na uwe specific ili tukutafute na tudhibitishe kuwa una uwezo.
 
Mh. Umeamua uingie mwenyewe kujitetea maana haya mawe unayotupiwa siyo ya kitoto.
Wala mm sio mheshimiwa Dr Ndumbaro. Mm ni mdau wa JF Kama ww. Nina haki ya kusupport au kuto support mjadala. Tatizo wabongo wengi wanapenda uamini wanachoongea hata Kama ni pumba.
Mh. Umeamua uingie mwenyewe kujitetea maana haya mawe unayotupiwa siyo ya kitoto.
 
Hawa jamaa wenye vichwa vya aina hii ni shida. Na yule waziri sijui ni wa nini, nadhani alikuwa naibu wa afya wakati wa Magufuli.
Yule aliyemwombea Magufuli apate corona na kweli akaipata
Your browser is not able to display this video.
 
Mkiambiwa siyo kila PhD ni za wenye Akili Kubwa au ndiyo Wasomi sana msiwe mnabisha sawa? GENTAMYCINE na hutu tudigrii twangu tumoja tu twa SAUT Mwanza ya mwaka 2009 IQ yangu imewaavcha mbali sana wenye Masters na Doctorates zao.
 
Jamaa amebaki kusema mitano Tena kwa mama tu.
 
Mkuu unapigaje hapo?
 
Tusilaumu mteuzi..shida iko na Tiss wao si ndio wanatoa clearance za wateuliwa ni km wana mkakati wa kuwaclear watu aina ya Ndumbaro wawe viongozi sabab kubwa ni haiba yao ya ukimya, ushamba na uzubaifu..mbali na Ndumbaro waangalie hawa..Mollel, mavunde,yule wa uvuvi, bashungwa, yule wa ulinzi..Tiss wanataka watu wasiojua kuhoji, unapeleka tu km gogo kwenye maji..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…