Uzeeni mwanaume ana uhitaji wa ndoa zaidi kuliko mwanamke. Chukua hatua

Uzeeni mwanaume ana uhitaji wa ndoa zaidi kuliko mwanamke. Chukua hatua

Kwenye jamii yetu, katika babu 100 single (which is rare) sidhani kama wanafika hata wa 3 wenye situation kama hii unayozungumzia hapa. Kwaiyo naona kama hoja yako haija qualify ku challenge huu uzi.

Lakini pia ume mention kuwa pamoja na kwamba mzee wako ana watoto na wajukuu ila bado hawamjali. It means mtu pekee ambaye angeweza kumjali kwa ukaribu ni mke au msaidizi wa kike; kitu ambacho mwenye uzi ndio anakizungumzia.

Bado napata shida kuelewa watu wasichoelewa hapo ni nini? Au neno "Ndoa" ndio lina complicate mambo? Ok replace "Ndoa" na "Kuwa na Mwenza" then get over with it.
Sasa si amekulezea kuwa babu yake yupo vema tu anaishi sasa unataka kuilazimisha akili ya kila mtu iamini kuwa mwanaume lazima aumwe na lazima asaidiwe na mkewe. Khaaaaaah
 
Tatizo mnaendekeza umama sana kifupi you are dick driven.


Ni hivi hawa wanawake ni wajanja sana kwa wanaume wapumbavu.

Tangia unapo muoa anakutenganisha wewe na marafiki, wewe na hobby zako, wewe na ndugu zako, yaani anahakikisha umebaki wewe kama wewe......na wewe ulivyo zoba unachekelea na kukenua mimeno ukisema my woman she loves me......men wewe ni boya. Huyo mwenzio anakufanyia hayo ili umtumikie fully usibakishe hata dakika. Ukisha maliza kumsomeshea watoto kumjengea na nguvu zimekuuisha na watoto wanajiweza basi biashara yako ndio imeishia hapo.

Huna marafiki, huna kijiwe cha kucheza bao na kuzuga taani ndugu zako ulisha kosana nao.,marafiki nao uliwakimbia sasa unabaki wewe na korodani zako.

Lkn ukikutana na mwanaume aliwajulia wanawake na michezo yao huji kumkuta analia lia na sijui stress sijui upweke nk....yeye akikaa na vijana burudani akikaa na wazee wenzie wanasema hajiheshimu , na mbususu mbichi na kali bado anaendelea kuzilamba ambazo hata vijana wanaziogopa
Ha ha ha ha ha ha ha ha ha [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] dah umenichekesha sana. Mchango wako uliotoa umeongea exactly kile nilizungumzia kwenye mijawapo ya comment yangu hapa. Wataalamu wa psychology wanasema intelligence always connects with intelligence through logic.

Namna umepangilia hoja zako ni exactly maoni ambayo nimetoa katika comment yangu mtu anaweza sema wewe umeniiga au nimekuiga. So kiufupi wanaume tumeanza kutumia akili zetu za asili kufikiria na sio kutumia hizi akili za kupewa na wachungaji na MC wa Inspiration talks.

Mtu anakwambia ukiwa na mkeo mnafanya kazi mkeo analipwa milioni 2 na wewe unalipwa milioni 2 hapo nyumbani kwenu usiseme mna milioni 4 bali ni milioni mbili yako maana pesa ya mkeo si yenu ni yake pekee yake. Huu UFALA ndio unajazwa kwa watoto wa kiume nao kama mabwege wanakubali kuwa ni kweli ni sahihi watoto wa kike wakichekelea maana wanajua hii kitu inawabenefit wao.

So i believe as tunaendelea hii movement ya Masculinism a.k.a MGTOW itawafikia watoto wote wa kiume na wataweza kuimarika na kujitambua na kujenga uwezo wa kujisimamia na kuwa wanaume kamili sio kuwa mabwege.
 
Nilikuwa nikimtazama mzee wangu, najiuliza hivi bila huyu mama huyu mzee ingekuaje? Watoto wote wapo busy na familia zao. Tukishahakikisha wana chakula ndo basi, sana sana ni simu za mara kwa mara ila mke wake ndo kila kitu kwake.
Kila kitu kwenye eneo gani hebu kuwa specific.
 
Kila kitu kwenye eneo gani hebu kuwa specific.
Kuna nyakati zinafika, hakuna unachojali zaidi ya kufurahia wajukuu wako, Huna jipya la kutafuta tena duniani, wala huna jipya la kupoteza. Ulichonacho ni binadamu wanaokujali sio sababu unawapa fedha bali sababu wewe ni baba, mume na babu kwao.
 
  • Thanks
Reactions: Cyb
Yote haya yatakukuta ikiwa umezeeka ukiwa lofa
Ndugu yangu, hela haiwezikukufanyia kilakitu, unaweza kumlipa mdada akufanyie usafi n.k lkini hawezi kukufeel kama mke wako au mtu wa karibu atakavyokujali
 
So kulingana na maelezo yako hapo inamaana umechukulia assumption zifuatazo:

1. Mwanaume lazima awe mgonjwa akifika uzeeni

2. Mwanaume ana mwili mbovu unaochoka haraka kuliko wa mwanamke.

3. Mwanamke hawezi kuumwa akawa mgonjwa wa kutegemea misaada.

4. Mwanaume mzee ni sawa na mtoto mchanga.

5. Jamii humtenga mwanaume anayezeeka.

6. Hakuna taasisi au watu au wasamalia wema wanaweza kumsaidia mwanaume anapofika uzeeni.

So kimsingi umetumia assumptions ambazo zimetokana na mapokeo ya historia za maisha ya wazee wetu kujijibu kuhusu uhalisia wa maisha na kutengeneza matarajio yako kuhusu future ya wanaume wote. HUU NI UBATILI.

1. Unaweza kuwa na mke na familia wakafariki wote kwa ajali au ugonjwa then ukarejea kuwa bila kuwa na mtu. So usiweke guarantee kuwa maisha yako yanakuwa assured sababu upo na mke na watoto ujana wako.

2. Wanawake hutumia survival instinct na techniques kuishi sababu wanajijua hawana uwezo wa kupambana na changamoto za kiasili katika nature. Nitakufafanulia hapa kidogo.

Mwanamke uzuri wake huwa upo kati ya miaka 15 na hauwezi vuka 40 especially akiwa ameshapata watoto mara kadhaa so anajua hakuna mwanaume wa hadhi ya juu na mwenye pesa atamtamani katika umri huo na kutoa pesa na mali zake in exchange for kids and bills zake.

So mwanamke anapambana tokea usichana wake kuhodhi rasilimali ambazo atakuja zitumia baadae akishachuja. Na hili anafanikiwa kwasababu kuna mifumo ameshaimanipulate ili hili lifanikiwe mfano kwenye maswala ya kidini kisheria na kijamii ameweza kutengeneza utaratibu kuwa akiolewa basi watoto na mali za mumewe zote ni mali zote atavihodhi. Ukutaka kujua hili mwambie mkeo unataka muuze kila kitu muhamie sehemu mpya uone roho yake ipo wapi.

So, hii inamfanya mwanamke kuwa makini katika maisha yake ili kupata mali na mwisho kabisa kupata watoto ambao wewe utawasomesha kwa bidii ili waje kumtunza yeye uzeeni wewe ukiwa unapambana na magonjwa kama kisukari, pressure, ukimwi, kansa ambayo ni matokeo ya wewe kutumia takriba miaka 40 ya ujana wako kumhangaikia yeye na watoto wake na kusahau kuwa ukishachoka yeye hakuhitaji tena anachotaka ufe ili usimsumbue na watoto wake aache kula raha wakae kukuuguza.

3. Mwanaume kufika umri mkubwa na kuwa tegemezi kwa mkewe na watoto ni matokeo ya poor planning na resources wastage tokea ujana wote.

Wanaume tunatumia zaidi ya miaka 40 ya ujana wetu pengine na zaidi kuwapambania watu ambao wakisikia tumestaafu tumechakaa hawataweza tuhangaikia kwa miaka hata mitano 5 kabla hawajaanza tuombea tufe maana tunakuwa mzigo wa kudumu kwao jambo ambalo hawapo tayari kulibeba.
Imagine kumhudumia mzee wa kuanzia miaka 60 ambaye hana pesa na anakutegemea kama mtoto utaweza? Miaka 60 akihudumiwa vizuri anaweza fika hata miaka 120 akiwa na nguvu za kutembea mwenyewe na kuongea ni chakula tu na matibabu mazuri. Sasa hii ni kitu ambayo mkeo hatokuwa tayari kuona inatokea maana itabidi mojawapo afe ili watoto au mtoto asiwe na mzigo mkubwa sana wa kuhudumia wazazi wawili ndio maana umri huu akina mama ndio huwa wanaanza kukengeuka na kuwageuka wanaume zao kwa watoto na kuanza figisu za kuwafitini watoto na baba zao ili wao waishi vizuri na ombi kubwa la mwanamke mzee ni mume wake atangulie mbele za haki ili yeye apumzike aishi kwa starehe uzeeni pake.

4. Nikuulize je umeshawahi kuhoji ulaji wako na namna unacheki afya yako katika umri wako huu wa ujana? Jukumu la afya yako si la mkeo wala watoto wako, ni jukumu lako binafsi. Therefore, usitegemee mkeo afanye kazi hii aache kujitazama afya yake kwanza maana yeye anajijali zaidi kuliko wewe.
Ipo hivi mkeo atakupikia chakula ule unenepe asifiwe anamtunza mumewe but nini hutokea kwa mtu anayenenepeana na kujaza mafuta mwilini mwake? Kisukari, pressure, stroke siku za baadae, na mengineyo ni matokeo ya kutozingatia afya na haya huja kutokea uzeeni huko umri wa kuanzia miaka 60+ ndipo haya maradhi huanza kazi.

But wakati wako wa ujana ukiwa makini na life style yako kwenye diet yako yaani chakula gani unakula,umakini na unywaji wa madawa makali hovyo ambayo huchosha figo na ini lako na moyo wako especially viagra, painkillers kali kama ibuprofen,pombe kali kila siku,dawa za nguvu za kiume etc, mazoezi ya mwili, kuwa makini na nani unalala nae kitandani kupunguza risk za magonjwa yatayodhoofisha mwili kupitia madawa ya kuyatibu, namna unapumzika na kulala, unadeal vipi na stress za mahusiano na kuzikomeshaje mfano unaishi na mwanamke anayekusumbua kichwa na si muelewa why upo nae sasa na anakuzeesha mwili na kukuchosha akili piga chini.

5. Unatabia gani za kifedha katika haya maisha yako. Mfano unatumia vipi mapato yako yote hadi ukifika uzeeni ukose hata mia unaanze kulaumu watu kuwa ukiwasaidia au kuwasomesha na wao sasa wanakutenga.

Muda wako wa miaka ya utafutaji yaani kuanzia miaka 10 hadi 50+ itumie kuweka mpango wako wa pembeni ambao haumhusu mkeo wala watoto wako. Mkeo akijua umekwisha maana na kile kidogo atataka kiwe chake na akishakihodhi wewe kwake utakuwa ni threat ambayo atatakiwa kuitokomeza ili akitumie kwa uhuru bila bugudha.

Nyakati hizi ukiishi kwa mifumo ya babu na baba zetu ya kuhudumia bibi na mama zetu kwa asilimia 200% , kisha bado ujitoe kwa ukoo wako na ukoo wa mkeo, then tegemea matokeo yale yale ya kufika miaka 60+ ukiwa hoi na kukosa msaada sababu binadamu hupenda kusaidiwa ila sio kusaidia. Roho yako nzuri iwekeze kwako kwanza kwa 90% then 10% uwekeze nje yako. Nasema hivi kwasababu usijekutegemea kuna mtu atakumbuka huruma zako na kujitoa na yeye ajitoe kwa kadiri ile ile kama yako hiyo sahau.

Imagine ukitumia 90% kwenye mipango yako ya kuwekeza. Sio unapokea mshahara unampa mkeo apange matumizi. Unaokota milioni kumi unampa mkeo apange matumizi, ndugu utakuja juta. Why usiweke mkakati wa biashara ili kuongeza mapato, kuwa na bodaboda, kuwa na bajaji, kuwa na mradi wowote ambao wewe ndie utaratibu kila kitu. Ili pesa yako ianze kukua ukifika by the age 50+ account yako iwe na not less than 400milions in savings na huko mtaani una vitega uchumi ambavyo vipo active. Ukipewa kiinua mgongo chako inakuwa kama ela ya vocha tu.

Hii itakupa maisha marefu na mambo ya kufanya uzeeni na utaishi bila stress za kipato wala kuhangaika na watoto. Wacha watoto wadeal na mama yao maana ndio investment yake. Wewe unafocus na chakula, mazoezi na kuendelea kusimamia baishara zako bila stress. Utaona kama huo umri wa utu uzima ukifika hizi story za sijui nani atakutunza utakutana nazo.

Kuna mengi ambayo tunakosea kama wanaume then tuna assume kuwa ni namna maisha yalivyo au ni nature while si kweli. Ukipanga maisha yako yaende kwa mfumo fulani ndivyo itakuwa hivyo hivyo hadi uzeeni.

So kama utaishi kwa kutapanya kile unachokitafuta kwa jasho la damu then utegemee uzeeni kuna sehemu utapata sapoti then jua unajiandaa kuumia. Mwisho wa siku utajua hujui. Jiandae mapema mazingira ya kustaafu ili uishi kwa starehe baadae sio kuanza kuwaza waza na kupata msongo wa mawazo uzeeni.
Noted Mkuu, kuna vitu nimeshaanza kuvifanya kama ulivyoeleza kwenye hitimisho, ikitokea nimefika huko sitaki nimtegemee watoto wala mama yao kabisa.
 
Ndugu yangu, hela haiwezikukufanyia kilakitu, unaweza kumlipa mdada akufanyie usafi n.k lkini hawezi kukufeel kama mke wako au mtu wa karibu atakavyokujali
Nadhani bado ni mgeni, huwajui wanawake. Uumwe halafu akutendee vema huyo sio mamako
 
Uzee upi karne hii mtoa mada? Kwanza sahvi 60 tu kama upo hai na huelewi basi inabaki kuhesabu masaa tu uende.... Na hapo 60 yenyewe uwe na mke mwema kwelikweli, la sivyo ukiingia ndoani na hawa wanawake ambao ni rafiki yake na nyoka hata 50 hutoboi.
 
UNAJIDANGANYA SANA.................ILA KAMA UMEOA TAYARI PAMBANIA HIYO NDOA ITAKAYOKUUA KWA STRESS
 
Sina uhakika na ulichokiandika mleta mada, suala la kuitaji msaada uzeeni inategemea wapo wazee wanaoishi wenyewe tu pasipo kutegemea msaada wa mtu yeyote. Lakini ni vizuri kuwa na mtu wa kuishi nae unapokuwa kwenye hatua ya kutokujiweza nakumbuka kuna mzee mmoja alikuwa umri umeenda sana alikuwa akiishi peke yake umauti ulimfika, majirani zake walikuja kujua baada ya kianza kisikia harufu kali sana ikabidi wafatilie wakaja gundua mzee amefariki.

Sent from my vivo 2015 using JamiiForums mobile app
 
Sina uhakika na ulichokiandika mleta mada, suala la kuitaji msaada uzeeni inategemea wapo wazee wanaoishi wenyewe tu pasipo kutegemea msaada wa mtu yeyote. Lakini ni vizuri kuwa na mtu wa kuishi nae unapokuwa kwenye hatua ya kutokujiweza nakumbuka kuna mzee mmoja alikuwa umri umeenda sana alikuwa akiishi peke yake umauti ulimfika, majirani zake walikuja kujua baada ya kianza kisikia harufu kali sana ikabidi wafatilie wakaja gundua mzee amefariki.

Sent from my vivo 2015 using JamiiForums mobile app
Inasaidia Nini mwili wako ukizikwa mbichi au uwe umeoza? yaani ukae na jambazi ndani kwa vile tu siku ukifa aje atoe taarifa?
 
Back
Top Bottom