Ivan Stepanov
JF-Expert Member
- Apr 22, 2023
- 6,799
- 22,209
Huyo ni kivuruge tuuu .. njoo hamia hukuhalafu mniache tena hadharani, Gily mbona uachi kunifatilia jamaniπ
Ndio leo naanza kuifahamu ID yake.Una uhakika wanajf wanakujua mwamba???
me nishawahiwaπ ππΌHuyo ni kivuruge tuuu .. njoo hamia huku
Ohoooohhh!!! Acha niendelee na random sampling ππme nishawahiwaπ ππΌ
Nakumbuka nilipotea hapa jukwaani kama miezi tisa hivi,basi nikiwa huko nilikokuwa nikawa nasoma tu nyuzi za wanajamiiforums, kupitia simu ya mwana,kila nyuzi ninazosoma kwa muda wote huo,hakuna coment Wala tag, ya kukumbukwa
Hata kwa mabaya yangu. Asee niliumia Sana Kumbe hata ningekufa ingekuwa poa tu, wakuu tukumbukane, au mnataka tuandamane mpaka ofisi za jamiiforums ndipo mjue na sisi tupo? semeni au tulete mgomo baridi
Mwenyewe ndio nimeiona janaNdio leo naanza kuifahamu ID yake.
sawaπππππOhoooohhh!!! Acha niendelee na random sampling ππ
Yan huku kila mtu is occupied already..ndio maana dronedrake ameamua kua alivyosawaπππππ
ndicho ninachokizungumza hapa nashukuru kwa kunijua leo maana kidogo naona nuru imeanza kung'aa ila mimi nipo humu kabla jamiiforums haijaanzishwawaulize mods wanalijua hilo asante kwa kunikumbuka pigapg kifua angalia juu sema nimechelewa kumjuaNdio leo naanza kuifahamu ID yake.
amna wapo wengi tu mbona, we endlea kufanya random sampling usikate tamaa πYan huku kila mtu is occupied already..ndio maana dronedrake ameamua kua alivyo
Najua wapo wengi sema sasa mimi sitaki vi polygon. Hawa waki wengi sanaaaa.. nataka pisi .amna wapo wengi tu mbona, we endlea kufanya random sampling usikate tamaa π
haaaa, unachagua tena π€, we haya...Najua wapo wengi sema sasa mimi sitaki vi polygon... nataka pisi .
NDioo..zoa zoa hapa..Hapa acha nikomae na Amehlo ... sema yuko busy na vikoba.haaaa, unachagua tena π€, we haya...