Uzi huu ni kwa wale tuliopo JamiiForums lakini uwepo wetu hauonekani


Ww ndie mwenye shida, jamii forums kama social media zingine hujui walioko nyuma ya keyboard ni kina nani.
They dont care hata ukifa leo so enjoy kwa muda wako but remove matarajio
 
Ndio leo naanza kuifahamu ID yake.
ndicho ninachokizungumza hapa nashukuru kwa kunijua leo maana kidogo naona nuru imeanza kung'aa ila mimi nipo humu kabla jamiiforums haijaanzishwawaulize mods wanalijua hilo asante kwa kunikumbuka pigapg kifua angalia juu sema nimechelewa kumjua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…