Ivan Stepanov
JF-Expert Member
- Apr 22, 2023
- 6,799
- 22,209
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo ni kivuruge tuuu .. njoo hamia hukuhalafu mniache tena hadharani, Gily mbona uachi kunifatilia jamani😌
Ndio leo naanza kuifahamu ID yake.Una uhakika wanajf wanakujua mwamba???
me nishawahiwa😅🙌🏼Huyo ni kivuruge tuuu .. njoo hamia huku
Ohoooohhh!!! Acha niendelee na random sampling 😂😂me nishawahiwa😅🙌🏼
Nakumbuka nilipotea hapa jukwaani kama miezi tisa hivi,basi nikiwa huko nilikokuwa nikawa nasoma tu nyuzi za wanajamiiforums, kupitia simu ya mwana,kila nyuzi ninazosoma kwa muda wote huo,hakuna coment Wala tag, ya kukumbukwa
Hata kwa mabaya yangu. Asee niliumia Sana Kumbe hata ningekufa ingekuwa poa tu, wakuu tukumbukane, au mnataka tuandamane mpaka ofisi za jamiiforums ndipo mjue na sisi tupo? semeni au tulete mgomo baridi
Mwenyewe ndio nimeiona janaNdio leo naanza kuifahamu ID yake.
sawa😂😂😂😂😂Ohoooohhh!!! Acha niendelee na random sampling 😂😂
Yan huku kila mtu is occupied already..ndio maana dronedrake ameamua kua alivyosawa😂😂😂😂😂
ndicho ninachokizungumza hapa nashukuru kwa kunijua leo maana kidogo naona nuru imeanza kung'aa ila mimi nipo humu kabla jamiiforums haijaanzishwawaulize mods wanalijua hilo asante kwa kunikumbuka pigapg kifua angalia juu sema nimechelewa kumjuaNdio leo naanza kuifahamu ID yake.
amna wapo wengi tu mbona, we endlea kufanya random sampling usikate tamaa 😊Yan huku kila mtu is occupied already..ndio maana dronedrake ameamua kua alivyo
Najua wapo wengi sema sasa mimi sitaki vi polygon. Hawa waki wengi sanaaaa.. nataka pisi .amna wapo wengi tu mbona, we endlea kufanya random sampling usikate tamaa 😊
haaaa, unachagua tena 🤔, we haya...Najua wapo wengi sema sasa mimi sitaki vi polygon... nataka pisi .
NDioo..zoa zoa hapa..Hapa acha nikomae na Amehlo ... sema yuko busy na vikoba.haaaa, unachagua tena 🤔, we haya...