View attachment 2669109
ANGA inawasiliana ili kumsaini Zougrana(21,🇮🇪)!
Young Africans sasa wanaendelea na mazungumzo ya kumsajili Mo Zougrana baada ya kumuongezea mkataba Sure Boy 🚨
- Mazungumzo yanaendelea sasa kutafuta ‘muundo’ sahihi wa dili hilo huku Yanga wakisukumana tangu jana kumsajili Zougrana.🔰
- Yanga sasa wanajiamini kufikia makubaliano katika siku chache zijazo 🇮🇪
🚨Elewa:::: Yanga wanasukuma kukamilisha Dili hili ndani ya wiki hii
- Msukumo wa Aziz Ki kutaka Zougrana awe Yanga na bodi inajitahidi kufikia makubaliano haraka iwezekanavyo. ⌛️