Tetesi: Uzi maalumu wa tetesi mbalimbali za usajili kuelekea msimu mpya wa ligi 2023/24
huyo kocha al ahaly alikua analipya billion moja na point kwa mwezi na anataka aje na benchi zima lake la ufundi je? wananchi mtapitisha bakuli?
 
Aje tu. Ila ajue Utopolo inaendeshwa 'kiuswahili uswahili' na washabiki wake wala mihogo ni hatare. Mwakani tutasikia amevunja mkataba na kuwaita yale majina magumu aliyowaita Emayel.
 
Aliyewahi kuwa kocha wa Mamelodi Sundowns ya Afrika kusini na Al ahly ya Misri, Pitso Mosimane ameripotiwa na gazeti maarufu la Afrika kusini IOL kuwa yuko mbioni kujiunga na Wakali hao wa Tanzania, Young Africans club.

Kocha huyo ambaye hivi karibuni ametoka kuvunja mkataba wake na timu ya Saudi Arabia, Al Hilal ameoneka Mjini Johanesburg akiwa na Eng Hersi katika mazungumzo.

Hata hivyo tangu Kocha huyo awe huru, timu nyingi zimejitokeza kuwania sahihi yake ikiwemo pia Klabu ya Kaizer Chiefs, ambao pia wameripotiwa kuwa katika hatua za mwisho za kukamilisha usajili wa Nabi Nasreddine

Yanga ambao wametoka kuagana na Kocha wake Nabi, wako busy kuhakikisha nafasi hiyo inajazwa haraka iwezekanavyo.

Pia gazeti la Pulse Sports Nairobi, Kenya limeripoti juu ya uwezekano huo wa Pitso kutua Jangwani.
Kama kuna vitu unafikiria havitakaa viwezekane kwenye maisha yako basi na hili la Pitso ongezea tu..!
 
Kuripoti tetesi haimaanishi usitumie common sense. Ukitumia common sense utaona Tz hakuna timu ya kumlipa Mosemane
 
Screenshot_20230618-021150~2.png
 
Yaani pitso aje yanga? Pale all haly alikuwa analipwa million 250 kwa mwezi yaani bajeti yenu ya miezi 3 mtu anachukua mwezi 1
 
Back
Top Bottom