kelphin
JF-Expert Member
- Dec 24, 2019
- 9,872
- 16,319
Nani anazo?Yanga Hanna hela ya kumlipa huyo masimoney
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nani anazo?Yanga Hanna hela ya kumlipa huyo masimoney
Kwani wametenga kiasi gani cha kumlipa Kocha.Yanga Hanna hela ya kumlipa huyo masimoney
Labda atalipwa na mama samia si timu ya serekalehuyo kocha al ahaly alikua analipya billion moja na point kwa mwezi na anataka aje na benchi zima lake la ufundi je? wananchi mtapitisha bakuli?
Kwani uliambiwa kombe linatunzwa kwake?Mosimane akitua yanga basi club bingwa tunachukua
Endapo hilo likiwezekana basi tutegemee mambo mawilihuyo kocha al ahaly alikua analipya billion moja na point kwa mwezi na anataka aje na benchi zima lake la ufundi je? wananchi mtapitisha bakuli?
Kama kuna vitu unafikiria havitakaa viwezekane kwenye maisha yako basi na hili la Pitso ongezea tu..!Aliyewahi kuwa kocha wa Mamelodi Sundowns ya Afrika kusini na Al ahly ya Misri, Pitso Mosimane ameripotiwa na gazeti maarufu la Afrika kusini IOL kuwa yuko mbioni kujiunga na Wakali hao wa Tanzania, Young Africans club.
Kocha huyo ambaye hivi karibuni ametoka kuvunja mkataba wake na timu ya Saudi Arabia, Al Hilal ameoneka Mjini Johanesburg akiwa na Eng Hersi katika mazungumzo.
Hata hivyo tangu Kocha huyo awe huru, timu nyingi zimejitokeza kuwania sahihi yake ikiwemo pia Klabu ya Kaizer Chiefs, ambao pia wameripotiwa kuwa katika hatua za mwisho za kukamilisha usajili wa Nabi Nasreddine
Yanga ambao wametoka kuagana na Kocha wake Nabi, wako busy kuhakikisha nafasi hiyo inajazwa haraka iwezekanavyo.
Pia gazeti la Pulse Sports Nairobi, Kenya limeripoti juu ya uwezekano huo wa Pitso kutua Jangwani.
labda iwe hivyoLabda atalipwa na mama samia si timu ya serekale
Hakuna mkataba wa milele kwenye soka labda bandari.Ndio maisha ya football hayo ila kwa mashabiki wa bongo linaonekana jambo la ajabu! Hata iweje wangeondoka tu hakuna mkataba wa milele