GedsellianTz
JF-Expert Member
- Jul 5, 2016
- 1,348
- 1,805
Huku tunapoelekea nyumba ya jirani inazidi kubomoka, bila shaka baada ya azam kuachana na Ongala tutegemee taarifa yoyote kuanzia sasa katika viunga vya azam maana nawaona msimu huu wanataka kuvunja benki.