Soon itakuwa Mtibwa isiyolima miwa.
 
Duuuuh so huyu jamaa kaona milioni 660 ni Bora Bora kuliko milioni 920
 
Helmy Gueldich(kocha wa viungo Yanga) kutimkia Afrika kusini kwenye klabu ya Orlando Pirates au Kaizer Chiefs
 


ANGA inawasiliana ili kumsaini Zougrana(21,🇮🇪)!

Young Africans sasa wanaendelea na mazungumzo ya kumsajili Mo Zougrana baada ya kumuongezea mkataba Sure Boy 🚨

- Mazungumzo yanaendelea sasa kutafuta ‘muundo’ sahihi wa dili hilo huku Yanga wakisukumana tangu jana kumsajili Zougrana.🔰

- Yanga sasa wanajiamini kufikia makubaliano katika siku chache zijazo 🇮🇪
🚨Elewa:::: Yanga wanasukuma kukamilisha Dili hili ndani ya wiki hii

- Msukumo wa Aziz Ki kutaka Zougrana awe Yanga na bodi inajitahidi kufikia makubaliano haraka iwezekanavyo. ⌛️
 


Hakuna kilichobadilika, kama nilivyoripoti hapo awali kwamba Malone amekubali na yuko tayari kujiunga na kilabu

Cotton Sports pia ilikubali zabuni ya nne ya Simba ya karibu $275k

Malone alitarajiwa kuwa Tanzania wiki hii lakini Salim Abdalah atasafiri kwenda Cameroon kukamilisha dili hili

Wiki ijayo Klabu ya Simba inatarajiwa kukamilisha dili mbili MALONE& SYLLA kama watakubaliana katika masharti binafsi na kiungo huyu
 


Rasmi, imethibitishwa

Denis Kibu(🇹🇿,24) ameongeza mkataba na Simba sc kwa msimu mmoja zaidi. 🦁⭐️ #SimbaSc

Mazungumzo yalikuwa ya haraka sana kwani alitaka tu kubaki - mkataba mpya hadi Juni 2025.

🚨Fahamu
Mkataba wa sasa wa Kibu unaisha Juni 2024
 
Yanga kumbe wana bodi
 

TETESI ZA USAJILI | Beki wa kushoto Yahaya Mbegu kupitia ukurasa wake wa instagram amechapicha ujumbe wa kuishukuru Ihefu “THANK YOU Mbogo Maji.”

Mbegu anahusishwa kujiunga na Simba kuchukua nafasi ya Gardiel Michael ambaye mkataba wake na Simba umemalizika na ameruhusiwa kuondoka.

Mbegu amekuwa kwenye kiwango kizuri tangu alipokuwa Polisi Tanzania, Geita Gold na Ihefu.

Singida Fountain Gate FC pia inatajwa kuwa kwenye mbio za kuwania saini ya mchezaji huyo aliyewahi kupita timu ya vijana ya Simba.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…