cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hamumpatii km hivyooooNgoja tuone maana Waarabu nao wanataka kuvunja kibubu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hamumpatii km hivyooooNgoja tuone maana Waarabu nao wanataka kuvunja kibubu
Dalili si njema sana kwa Barça ukizingatia umri pia[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hamumpatii km hivyoooo
Bellingham si anakuja city au?
Hiyo timu kubwa Africa ni SIMBA SPORTS CLUB ya Msimbazi Kkoo. Lazima Nabi asajiliwe Simba.
Inadaiwa kuwa Nabi anaweza kuondoka Yanga mwishoni mwa msimu huu
Nabi alishapewa kishika uchumba na team moja kubwa barani Africa hivyo mda wowote kuanzia sasa anaweza kusepa
Yanga wanapaswa kuanza mpango mwingne wakutafuta coach
Wananchi hapo vipi 👀
Mie naona angestaafu baada ya kuchukua WC pale, angesoma awe hata kocha, ingempa heshima.
Nasikia kuna wachezaji wa mchongo wengi wameongezewa mikatabaMangungu safari hii ukituzingua tutakutoa hapo Simba Sc
Aisee dogo huyu amekuja kuwaje sijui. Mwanzoni alitabiliwa makubwaNahodha wa England Harry Kane, 29, anataka kuhamia Manchester United msimu huu wa joto, badala ya kuhamia nje ya nchi, lakini yuko tayari kumaliza mkataba wake na kuondoka Tottenham kama mchezaji huru mwaka ujao. (Sun)
Dogo huyu amekuja kuwaje sijuiJoao Felix atapelekwa Newcastle kwa mkopo na klabu mama Atletico Madrid siku chache tu baada ya Chelsea kutangaza kutomsajili mshambuliaji huyo wa Ureno mwenye umri wa miaka 23 kwa uhamisho wa kudumu. (Mail)
Ana ujivuni mwingi, anajiona yeye ni level za akina Cr7 au Messi kitu kinachomfanya kutoelewana na makocha au wachezaji wenzakeDogo huyu amekuja kuwaje sijui