Tetesi: Uzi maalumu wa tetesi mbalimbali za usajili kuelekea msimu mpya wa ligi 2023/24
lionel messi will leave PSG this summer, manager christophe galtier has confirmed..

“I had the privilege of coaching the best player in the history of football.

"It will be leo’s last match at the Parc des Princes against clermont”.

GOAL
 
Inaelezwa kuwa yanga itamwacha winga wake mghana bernard morrison na inaelezwa singida big stars walishaanza mazungumzo ya awali ya kuinasa saini ya winga huyo.

Kwako studio
 
1685793679156.png

Makabi Lilepo​


1685793745234.png

Issa Fofana​


Inadaiwa Simba SC ipo kwenye mazungumzona Wachezaji wawili wa Al Hilal.

Simba SC imewasiliana na Al Hilal kwa wachezaji wawili - imethibitishwa.

1. Kipa: Issa Fofana (19) akichukua nafasi ya Aishi Manula.

2. Mshambuliaji: Makabi Lilepo (25) akichukua nafasi ya Augustine Okrah.

Al Hilal wapo tayari kusikiliza ofa na kujadiliana na Simba kutokana na urafiki wa dhati uliopo kati ya klabu zote mbili.
 
Uongozi wa klabu ya Simba umetangaza rasmi kuachana na kiungo mshambuliaji Augustine Okrah 🇬🇭 baada ya kumalizika mkataba wake ndani ya klabu na mchezaji hataongezewa mkataba mpya.

1685958407435.png
 
Kwa taarifa nilizozipata kutoka kwenye chanzo cha kuaminika ni kwamba, kiungo matata kabisa raia wa DRC na klabu ya Al Hilal ya Sudan, Fabrice Ngoma amesaini mkataba wa miaka 2 kuitumikia Young Africans SC.
Ni suala la muda tu kumtangaza.
 
Tulia skauti yetu ya msimu huu inaenda kufanya competition na timu kubwa kama Wydad au Al Ahly kwenye usajili

Mchezaji ambaye Wydad anaonekana kumtaka ndio huyo huyo atayekuwa kwenye radar zetu
Eti radar [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1]
20230507_180720.jpg
 
Haya majina ya ngoma hayafanyagi vizuri Yanga. Wanamwacha yule winga hatari wa Usm Alger yule mzimbwabwe wanatuletea ngoma tena?
 
Kwa taarifa nilizozipata kutoka kwenye chanzo cha kuaminika ni kwamba, kiungo matata kabisa raia wa DRC na klabu ya Al Hilal ya Sudan, Fabrice Ngoma amesaini mkataba wa miaka 2 kuitumikia Young Africans SC.
Ni suala la muda tu kumtangaza.
Okotezeni kama Abigirimana
 
1686042565978.png

Wawakilishi wa Winga wa Simba Peter Banda waliwasilisha maombi ya kuvunja mkataba na Simba ila Uongozi wa Simba SC walikataa ombi hilo nakusema watakuwa tayari kumuuza iwapo kuna timu yenye ofa nzuri itamuhitaji.

Peter Banda amebakiza mkataba wa mwaka mmoja kuitumikia Simba SC ambao mkataba wake utamalizika mwezi Agosti mwaka 2024.

Kuna Ofa kutoka ukanda wa Afrika ya kusini na zingine kutoka Afrika mashariki na moja ni kutoka Ulaya kwenye klabu kutoka Romania✍️

Huenda Simba SC ikalazimika kumuuza Banda ambae Wawakilishi wa Banda hawako tayari kuongeza mkabata mpya wa kubakia Simba kwani wanaitaji Mteja wao apate nafasi zaidi.

Mazungumzo bado yanaendelea baina yao,
 

Makabi Lilepo​


Issa Fofana​


Inadaiwa Simba SC ipo kwenye mazungumzona Wachezaji wawili wa Al Hilal.

Simba SC imewasiliana na Al Hilal kwa wachezaji wawili - imethibitishwa.

1. Kipa: Issa Fofana (19) akichukua nafasi ya Aishi Manula.

2. Mshambuliaji: Makabi Lilepo (25) akichukua nafasi ya Augustine Okrah.

Al Hilal wapo tayari kusikiliza ofa na kujadiliana na Simba kutokana na urafiki wa dhati uliopo kati ya klabu zote mbili.
Kumbe mimi na makabi lilepo umri ni sawa
 
Back
Top Bottom