Tetesi: Uzi maalumu wa tetesi mbalimbali za usajili kuelekea msimu mpya wa ligi 2023/24
Sasa anafanana vipi na moloko?
anakocheza moloko,bm33,faridi au kisindi ndipo watakapoenda kumchezesha huyo jamaa 'gari la mkaa" we unatarajia anaenda kuchukua nafasi ya nani pale yanga?
 
anakocheza moloko,bm33,faridi au kisindi ndipo watakapoenda kumchezesha huyo jamaa 'gari la mkaa" we unatarajia anaenda kuchukua nafasi ya nani pale yanga?
Huyo jamaa ni kiungo namba 6 au 8 na hajawahi cheza sehemu tofauti na hapo.
 
1686125861360.png


WINGA wa Yanga, Dickson Ambundo anahusishwa na kuhamia Dodoma Jiji msimu ujao.

Ambundo alijiunga Yanga mwanzoni mwa msimu wa 2021/2022 akitokea Dodoma Jiji lakini ameshindwa kuwa na muendelezo wa ubora wake na mara nyingi kuishia benchi jambo ambalo uongozi wa Wanajangwani hao umepanga kuachana naye huku Dodoma ikitajwa kumhitaji.
 
1686125940120.png


OFFICIAL: KARIM Benzema, 35, amejiunga na Al-Ittihad kutoka Saudi Arabia 🇸🇦 kwa mkataba wa miaka mitatu. Straika huyo alitangaza rasmi ataondoka Madrid baada ya kudumu kwa miaka 14.

Benzema aliwekewa mezani ofa inayogharimu Pauni 342 milioni akakipige Al-Ittihad inayoshiriki Ligi ya Saudi Arabia. Nyota huyo ameagwa rasmi leo kabla ya kutimka Saudi Arabia akakamilishe uhamisho wake kuungana na Cristiano Ronaldo kwenye ligi ya nchi hiyo.
 

1686129654204.png

Fei Toto LOADING TO AZAM

""kwa mjibu wa taarifa ni kwamba bwana mdogo anaenda azam baada ya kumalizana na yanga siku ya jana maisha yake ya kisoka yataendelea huko ""

Kama kutakuwa na mabadiliko basi tutakuja nayo lakini taarifa iliyopo ni kwamba anakwenda kuitumikia Azam
 
Kai havertz asepe fasta CHELSEA ni Daraja tu refer kwa KDB aliambiwa kaflop chelsea lakini alivyotoka saivi ni next level..

Salah Chelsea alikua wa kawaida sanaa alivyotoka kwenda Liva ni balaa tupu

Kai Havertz nenda Drid ukakiwashe uko fundi
Ila kweli Chelsea huwa ni darajaa tyuuh la watu.
 
Yoyote tu maana kama kasajiliwa ni mwalimu ameona atakapomtumia
mwalimu ameona atakapomtumia? We unadhani nabi anamjua ngoma? tatizo nabi asajili wachezaji yeye analetewa tu, ndio maana hawa akina dumbia,bigilimana na azizi ki wanampa headache jinsi yakupata ubora wao...nabi haangalii jina anaangalia performance sitoshangaa ngoma akaja naakaendelea kukaa bench
 
mwalimu ameona atakapomtumia? We unadhani nabi anamjua ngoma? tatizo nabi asajili wachezaji yeye analetewa tu, ndio maana hawa akina dumbia,bigilimana na azizi ki wanampa headache jinsi yakupata ubora wao...nabi haangalii jina anaangalia performance sitoshangaa ngoma akaja naakaendelea kukaa bench
Ko nabi asimjue ngoma? Hivi huyu ngoma kwanza hata wewe unamjua ? Maana naona kama humfahamu kabisa
 
Kwa taarifa nilizozipata kutoka kwenye chanzo cha kuaminika ni kwamba, kiungo matata kabisa raia wa DRC na klabu ya Al Hilal ya Sudan, Fabrice Ngoma amesaini mkataba wa miaka 2 kuitumikia Young Africans SC.
Ni suala la muda tu kumtangaza.
Sijawahi mbona ila kwangu mimi option ya mido ilikuwa ya yule Mbrazili wa Singida japo kulikuwa na umuhimu pia wa kuwa na namba 10 mwingine anayepiga makiki kwenye zile rebounds
 
Ko nabi asimjue ngoma? Hivi huyu ngoma kwanza hata wewe unamjua ? Maana naona kama humfahamu kabisa
ngoma huyu aliefeli sudan na morroco baada kutoka a.s vita mimi nisimfahamu? Kwani ngoma ni mchezaji mkubwa sana africa kiasi cha nabi kumfahamu? Ngoma nimchezaji average yaan wakawaida tu
 
I dont think if barca needs messi more than the strongest defensive mild fields
Yh sure esp after the departure of Busquets Barça needs to strengthen the midfield and backline as well, but if he comes as a free agent the deal will be better for the club financially in endorsement and selling jersey
 
ngoma huyu aliefeli sudan na morroco baada kutoka a.s vita mimi nisimfahamu? Kwani ngoma ni mchezaji mkubwa sana africa kiasi cha nabi kumfahamu? Ngoma nimchezaji average yaan wakawaida tu
Morocco hakufeli alicheza mpaka mkataba ulipoisha.
Mchezaji alofeli anaweza panga mechi za fainali akacheza mwanzo mwisho?
Hali ya Sudan kila mtu anaijua

Kama ni mchezaji wa kawaida sawa tusubiri tutamuona
 
Back
Top Bottom