pyongyang
JF-Expert Member
- Jun 25, 2015
- 737
- 1,590
anakocheza moloko,bm33,faridi au kisindi ndipo watakapoenda kumchezesha huyo jamaa 'gari la mkaa" we unatarajia anaenda kuchukua nafasi ya nani pale yanga?Sasa anafanana vipi na moloko?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
anakocheza moloko,bm33,faridi au kisindi ndipo watakapoenda kumchezesha huyo jamaa 'gari la mkaa" we unatarajia anaenda kuchukua nafasi ya nani pale yanga?Sasa anafanana vipi na moloko?
Huyo jamaa ni kiungo namba 6 au 8 na hajawahi cheza sehemu tofauti na hapo.anakocheza moloko,bm33,faridi au kisindi ndipo watakapoenda kumchezesha huyo jamaa 'gari la mkaa" we unatarajia anaenda kuchukua nafasi ya nani pale yanga?
xaxa nani atampisha pale kati? aucho au muda au bangala?Huyo jamaa ni kiungo namba 6 au 8 na hajawahi cheza sehemu tofauti na hapo.
Yoyote tu maana kama kasajiliwa ni mwalimu ameona atakapomtumiaxaxa nani atampisha pale kati? aucho au muda au bangala?
Ni sawaaahDalili si njema sana kwa Barça ukizingatia umri pia
Nasikia anaenda MadridAaah wap[emoji777]
Yaan nlitamani Messi astaafu siku ile ile baada ya final WC kuishaaa, ingempa heshima sanaa.Binaadamu tumembwa na Tamaa, ndio inayomuumbua.
Ila kweli Chelsea huwa ni darajaa tyuuh la watu.Kai havertz asepe fasta CHELSEA ni Daraja tu refer kwa KDB aliambiwa kaflop chelsea lakini alivyotoka saivi ni next level..
Salah Chelsea alikua wa kawaida sanaa alivyotoka kwenda Liva ni balaa tupu
Kai Havertz nenda Drid ukakiwashe uko fundi
mwalimu ameona atakapomtumia? We unadhani nabi anamjua ngoma? tatizo nabi asajili wachezaji yeye analetewa tu, ndio maana hawa akina dumbia,bigilimana na azizi ki wanampa headache jinsi yakupata ubora wao...nabi haangalii jina anaangalia performance sitoshangaa ngoma akaja naakaendelea kukaa benchYoyote tu maana kama kasajiliwa ni mwalimu ameona atakapomtumia
Ko nabi asimjue ngoma? Hivi huyu ngoma kwanza hata wewe unamjua ? Maana naona kama humfahamu kabisamwalimu ameona atakapomtumia? We unadhani nabi anamjua ngoma? tatizo nabi asajili wachezaji yeye analetewa tu, ndio maana hawa akina dumbia,bigilimana na azizi ki wanampa headache jinsi yakupata ubora wao...nabi haangalii jina anaangalia performance sitoshangaa ngoma akaja naakaendelea kukaa bench
Sijawahi mbona ila kwangu mimi option ya mido ilikuwa ya yule Mbrazili wa Singida japo kulikuwa na umuhimu pia wa kuwa na namba 10 mwingine anayepiga makiki kwenye zile reboundsKwa taarifa nilizozipata kutoka kwenye chanzo cha kuaminika ni kwamba, kiungo matata kabisa raia wa DRC na klabu ya Al Hilal ya Sudan, Fabrice Ngoma amesaini mkataba wa miaka 2 kuitumikia Young Africans SC.
Ni suala la muda tu kumtangaza.
Andika vizuri wewe bwege. "Ko" ina maana gani. Wanaume hawaandiki hiviKo nabi asimjue ngoma? Hivi huyu ngoma kwanza hata wewe unamjua ? Maana naona kama humfahamu kabisa
I dont think if barca needs messi more than the strongest defensive mild fieldsBREAKING: Plan B is Bernardo Silva, if Messi doesn’t come at Barça
Ambacho hujaelewa hapo ni nini? Kulikua na haja gani ya kuitana bwege ?Andika vizuri wewe bwege. "Ko" ina maana gani. Wanaume hawaandiki hivi
ngoma huyu aliefeli sudan na morroco baada kutoka a.s vita mimi nisimfahamu? Kwani ngoma ni mchezaji mkubwa sana africa kiasi cha nabi kumfahamu? Ngoma nimchezaji average yaan wakawaida tuKo nabi asimjue ngoma? Hivi huyu ngoma kwanza hata wewe unamjua ? Maana naona kama humfahamu kabisa
Yh sure esp after the departure of Busquets Barça needs to strengthen the midfield and backline as well, but if he comes as a free agent the deal will be better for the club financially in endorsement and selling jerseyI dont think if barca needs messi more than the strongest defensive mild fields
Morocco hakufeli alicheza mpaka mkataba ulipoisha.ngoma huyu aliefeli sudan na morroco baada kutoka a.s vita mimi nisimfahamu? Kwani ngoma ni mchezaji mkubwa sana africa kiasi cha nabi kumfahamu? Ngoma nimchezaji average yaan wakawaida tu