Tetesi: Uzi maalumu wa tetesi mbalimbali za usajili kuelekea msimu mpya wa ligi 2023/24
Yaan nlitamani Messi astaafu siku ile ile baada ya final WC kuishaaa, ingempa heshima sanaa.
Mimi natamani astaafie Barça, imagine jinsi ile farewell itakuwa pale Camp Noú, siku hiyo lazima mashabiki wengi wa Barça watatokwa na machozi

Yule ni legendary wa Barça ila aliondoka kienyeji sana, Barça hawana desturi hiyo katika kuwaaga wachezaji wao wakubwa na walioipatia klabu yao mafanikio
 
Morocco hakufeli alicheza mpaka mkataba ulipoisha.
Mchezaji alofeli anaweza panga mechi za fainali akacheza mwanzo mwisho?
Hali ya Sudan kila mtu anaijua

Kama ni mchezaji wa kawaida sawa tusubiri tutamuona
angekua ajafeli mpaka mda huu angekuwa morroco pia al hilal ya sudan haijaterminate mikataba yawachezaji wake wote bora inaowahitaji mpaka xaxa zaidi ya waliofeli kama kina ngoma hao licha yajanga lavita....anyway ngoja tusubiri mda utaongea
 
angekua ajafeli mpaka mda huu angekuwa morroco pia al hilal ya sudan haijaterminate mikataba yawachezaji wake wote bora inaowahitaji mpaka xaxa zaidi ya waliofeli kama kina ngoma hao licha yajanga lavita....anyway ngoja tusubiri mda utaongea
Mda utasema haina haja ya kubishana
 
Sijawahi mbona ila kwangu mimi option ya mido ilikuwa ya yule Mbrazili wa Singida japo kulikuwa na umuhimu pia wa kuwa na namba 10 mwingine anayepiga makiki kwenye zile rebounds
Mbrazil ni mchezaji wa mechi ndogo. Siyo wa Champions league asee
 
Liverpool have just signed Alexis Mac Allister for… £35m. 🚨🔴 #LFC

Reds have now triggered the clause to sign the midfielder after medical tests completed with Brighton’s permission.

Documents are being signed. Here we go confirmed.
 
Sheikh Jassim submitted a fifth bid to buy 100% of Manchester United. It’s an improved bid with clear indication: take it or leave it.

There will be no more bids from Qatari group — after this Friday, Sheikh Jassim will no longer engage with the process.
 
Reiss Nelson was approached by Italian, French and English clubs but his priority has always been Arsenal: the agreement is imminent.

New long term deal, almost agreed two weeks ago — it’s about final details then Nelson will sign until June 2027 plus option included.
 
There's no negotiation or concrete chance for Nuno Tavares to join Galatasaray from Arsenal as things stand, despite recent reports.

Alex Sandro, on Galatasaray list as new left back in case he leaves Juventus this summer.
 
Manchester United have Kim Min-jae on their list since October and remains the main target. Release clause, only valid in July as United are in contact with agents; Newcastle are informed too.
 
N’Golo Kanté is on the verge of joining Al Ittihad on free transfer! Final details are being discussed then proposal will be accepted

Al Ittihad directors just arrived in London to link up with PIF Saudi delegation to prepare documents.

€100m per year until 2025.
 
Manchester United plans to let players leave

◉ Maguire expected to leave, both sides agree;
◉ Weghorst won’t stay — Everton and Spanish clubs keen;
◉ Henderson to Forest advanced;
◉ Van de Beek wants to play;
◉ Bailly and Telles out.
 
Christian Pulisic, expected to leave this summer as Chelsea are open to let him go

AC Milan are among clubs interested in Pulisic, as Matte Moretto reports — he was mentioned in recent talks held with Chelsea.

Talks for Loftus Cheek in stand-by after Maldini’s sack.
 
EXCL: Donny van de Beek will explore options on the market in the next weeks as he could leave Man United.

Donny loves the club and ten Hag but he needs and wants to play regularly next season.

Told he’ll be ready for pre-season after long injury.
 
Iñigo Martinez has just confirmed that he’s set to leave Athletic Club — he will be announced as Barça first signing, it’s done since March.

Martinez signed official documents in May, his contract will be valid until June 2025,
 
Wilfried Zaha has not agreed terms with Al Nassr at this stage. Saudi club has approached him but nothing done.

Understand Zaha’s priority remains European football, attracting strong interest from Champions League clubs.
 
Real Madrid plan is to present Brahim Diaz as new signing already next week — first step is extending the contract until 2027, then ‘unveil’ Brahim.

More: Nacho has received documents to send new contract signed back soon.
 
Back
Top Bottom