Nilimwambia fanya yote lakini asisinzie sasa yeye kajikuta shwaziniga asubuhi nimecheka yani apo achanganye na maumivu ya pepa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
One baharia down...
Wao utumishi walishasema gharama zote ni juu yako, kwa hiyo wanaweza kukusubirisha hata wiki kabisa.Sema jana hawa utumishi kuchelewesha majibu wameleta sna kizaazaa .kuna mwana tulikuwa gesti moja alafu kwa jana alisema atalala sasa ile mida ya wanga jmaa kuachia majibu jamaa akajkkuta amekandwa na utumishi kinachofuata akataka kusepa muda uleule na asilipe pesa basi zitatokea vurugu mechi na baadae walielewana
Napatikana mkuu,nimeshawasiliana na wanaoingia kesho,booking imefanyika tayari.Mwenyewe nilimtafuta siku ya J3 akawa hapatikani baadae akawa anasema humu huenda alilala au alikuwa anabadili line.
Sijui anakwama wapi..
Inatakiwa kumeza tuSasa turudi kumeza point kavu kavu
Aje Nghonghona,vyumba vizuri,bei ya kawaida.Anicheki.Huko zimechangamka mkuu.
Ukitaka ya 25k nenda barabara ya 10 kule mjini inaitwa Good Samaritan Lodge. Ina huduma nzuri ikiwemo Chai.
Pia kuna Guest inatwa Seja, ipo maeneo ya Msikiti wa Gaddaf, bei ni 12k na 10k sio self.
Kuhusu usafiri sasa ndio utapambana maana huko ni mbali sana na UDOM
Niliwahi kupoteza wallet ikiwa na hela zote, nilikuwa safarini, nilikoma nimeapa sitaweka tena hela kwenye walet maana hadi sasa sijanunua nyingine tena.Halafu ukute kachaguliwa oral ela ya kuendelea kubaki hapa jijini imeenda [emoji2]
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Dahh[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Utakuta ikaongezeka ikawa 10
Sawa mkuuNapatikana mkuu,nimeshawasiliana na wanaoingia kesho,booking imefanyika tayari.
Mimi nilipoteza vitambulisho vya muhimu nachukia sana walletNiliwahi kupoteza wallet ikiwa na hela zote, nilikuwa safarini, nilikoma nimeapa sitaweka tena hela kwenye walet maana hadi sasa sijanunua nyingine tena.
Hela naweka kwenye mfuko wa sufuali nyuma na kufunga kifungo, zile ndogo ndogo za kutumia naweka mfuko wa mbele. Endapo ikitokea nimepoteza vitu vingine, hela nitabaki nazo.
Kuhusu case ya jamaa, hela angeficha sehemu nyingine, walet angeiacha tupu, angekuwa safe
Nushawahi fika hapo kipindi hiki wanajaza hatariMakole lodge
Na huo mtaa wa makole Kuna Lodge nyingi sana!! 15000/- tu .
Kwani chuo sikimefungwa huko hostel unamkuta nani?Akalale hostel za UDOM, Humanity/ social. Au aende COED, ng'hong'hona Au alale nanenane stand, mbona pazuri tu. Au aende uswahilini huko mailimbili nk
Na ukizingatia vikao vya kamati za bunge vimeanza, dodoma inafurika [emoji3][emoji3][emoji119]
Nishaanza kufukua madesa hapa.
Pepa ya juzi ilikuja General ndani ya professional huku mimi nilijiandaa kulingana na majukumu ya mwajiri, nilichokikuta ndani nikapigwa na butwaa.
Hivyo hivyo walioenda oral wanasema wanaulizwa mambo mengine hata job description haijagushwa.
Sasa hapa inabidi nijiandae kwa ujumla huku mambo ni mengi hatari.
Mrija wa Asali kuufikia sio kazi rahisi aisee..
Huko zimechangamka mkuu.
Ukitaka ya 25k nenda barabara ya 10 kule mjini inaitwa Good Samaritan Lodge. Ina huduma nzuri ikiwemo Chai.
Pia kuna Guest inatwa Seja, ipo maeneo ya Msikiti wa Gaddaf, bei ni 12k na 10k sio self.
Kuhusu usafiri sasa ndio utapambana maana huko ni mbali sana na UDOM
Hahahaa, jana si ilikuwa siku ya kusubiri matokeo, niliamka mida ya saa 3 asubuhi, kwenda kujimwagia maji nikatungua koki ya hot water, asalaleee kumbe maji yalifika Farenheit 212, si nikachomwa mwili[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3], nikaamua kufungua koki na Cold water zikaenda simultenously ndipo yakapozwa nikaendelea kuyafurahia
Huduma zilikuwa nzuri, yaani ukiwa ndani ya room ni shwari kama kuna AC vile ingawa kuna feni za kawaida ambapo mimi sikuwahi kuziwasha.
Ila ukitoka nje ya Lodge ni baridi kama lile la kule nje Auditorium.
Kulipa huwa nalipa moja kwa moja kabisa nikishapewa ufunguo
Nimekosa mbili tu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yani nikasema utumishi wameshindwa kunifikilia mimi jobless kweliii?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sema jana hawa utumishi kuchelewesha majibu wameleta sna kizaazaa .kuna mwana tulikuwa gesti moja alafu kwa jana alisema atalala sasa ile mida ya wanga jmaa kuachia majibu jamaa akajkkuta amekandwa na utumishi kinachofuata akataka kusepa muda uleule na asilipe pesa basi zitatokea vurugu mechi na baadae walielewana
kama huna pesa safiri jioni fika dodoma usiku, lala stendi kuu ya mabasi pale ni salama na jengo la kulala ni zuri mtakutana wengi tu. Alafu asubuhi anza kufanya safari yako kwenda mahali pa usaili ulipopangiwa. kwa usafiri wowote huwezi tumia dakika zaidi ya 30 kutoka stendi kwenda mahali ulipopangiwa usaili.