Uzi wa sehemu za gharama nafuu kulala kwa wanaokwenda kwenye saili Dodoma

WAKUU SANA!

Magari yanayotembea usiku maarufu kama HAKUNA KULALA yanakamatwa kipindi hiki.... nyie mnaofanya USAILI tafadhalini sana.... usipange kuondoka usiku.... UTAKWAMA....!

CHUKUA HATUA

Kamanda Asante sana kwa msisitizo, naamini wengi tumejifunza kitu kupitia huu ujumbe wako.
 

Aiseee hii nimeipenda sana, kama ingekuwepo na kwa watu wa Dar es Salaam ingependeza sana.
 
Asante sana Mkuu, samahani kwa swali la ziada kwa sasa nauli ya Dodoma kwa wastani ni kama kiasi gani? ...
Nauli ya chini kabisa ni 25K, Luxury unapigwa hadi 30K.

Niliwahi kupanda Chiloha nilikuwa natokea Dom kuja Dar, niliambiwa 30K nikagoma nikasema nina 25K wakachukua
 
Nauli ya chini kabisa ni 25K, Luxury unapigwa hadi 30K.

Niliwahi kupanda Chiloha nilikuwa natokea Dom kuja Dar, niliambiwa 30K nikagoma nikasema nina 25K wakachukua

Asante sana Mkuu.
 
Asante sana Mkuu.

Hapana, anayeenda kufanya sio mimi. Japo na dogo analalamika necha ya mahitaji ya kazi inamfanya ashindwe kutabiri mtihani wa Usaili unamhitaji aandae nini.


Namimi nimepitia ni kweli Mkuu, tofauti na mtu kuvujishiwa mtihani, nina uhakika nafasi ya Katibu Msaidizi wa Bunge Daraja la II hakuna mtu mwenye uhakika wa anachojiandaa nacho. Wengi watapigwa na butwaa kwa watakachokikuta.

Afadhali taaluma nyingine uwezekano wa kubashiri upo, na ni mkubwa.
 
Usaili wa kitu gani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…