WAKUU SANA!
Magari yanayotembea usiku maarufu kama HAKUNA KULALA yanakamatwa kipindi hiki.... nyie mnaofanya USAILI tafadhalini sana.... usipange kuondoka usiku.... UTAKWAMA....!
CHUKUA HATUA
Hello guys. Kwa wakazi wa Moshi kuna usafiri private kwa watu wanne interested.
Bei ni Tshs elfu 60 Go and return.
Tutaondoka jumapili tarehe 4/09/2022 saa moja asubuhi.
PACKAGE INCLUDES:
1.Usafiri kutoka Moshi bus stand saa moja asubuhi ya tarehe 20 hadi Dodoma mjini maeneo ya bunge.
2. Usafiri kutoka Dodoma mjini maeneo ya bunge hadi UDOM ukumbi wa CIVE au kumbi jirani saa kumi na mbili asubuhi (ili kuwahi interview).
3. Usafiri kutoka ukumbi wa interview hadi Dodoma mjini maeneo ya bunge tutakapofikia.
4. Usafiri baada ya matokeo kutoka ( approximately tarehe 6 au 7) kwa wale tutakaofaulu kwenda usaili wa mahojiano kutoka tulipofikia kwenda eneo la usaili wa oral(ofisi za bunge) kwenda na kurudi
5. Baada ya interview usafiri hadi Moshi stand. Kuanzia saa moja asubuhi (siku baada ya matokeo au second interview)
✓Other benefits include:
•Kudiscuss kwenye gari kwa pamoja
•Kusimama popote njiani and other benefits of a private travel.
DM if interested.
MALIPO YANAPOKELEWA KWA MKONO MWISHO SIKU YA JUMAMOSI YA TAREHE 03/09/2022 SAA SITA MCHANA
hivi kwani nafasi ni ngapi?Hahaha, naona mkuu changamoto ya lodge umeshaipatia ufumbuzi, kwa sasa unataka wa kushirikiana naye kuitumia.
Amina mkuu 🙏Mkuu, asante sana. Nakuahidi malipo ya huu wema utayaona kwa mambo yako kukunyookea zaidi.
Nauli ya chini kabisa ni 25K, Luxury unapigwa hadi 30K.Asante sana Mkuu, samahani kwa swali la ziada kwa sasa nauli ya Dodoma kwa wastani ni kama kiasi gani? ...
Kuna nafasi 6 zinapambaniwa na watu 2455.hivi kwani nafasi ni ngapi?
Kweli hii ni vita ya kupambania mrija was asaliKuna nafasi 6 zinapambaniwa na watu 2455.
Nafasi zingine ni 1, 2 au 3. Wanaozipambania pia wanafika zaidi 300+kwa kila nafasi
Ushapata maposible mkuu?Nafasi kwa ajira ipi mkuu? Kama ni katibu msaidizi daraja la II ni 6 tu na maombi yako 2455.
soma kanuni za kudumu za bungeUshapata maposible mkuu?
Asante sana Mkuu.
Wakuu mambo vipi? Naona ma PDF yameanza kumwagika, changamoto ya malalamiko ya kwanini Utumishi wako kimya, inakwenda kuisha huku changamoto nyingine zinazotokana na kuitwa zinaanza kuibuka kwa kasi ya ajabu. Hii ni kwa wote, wanaokwenda kwenye Saili mbalimbali na hata wanaowategemea.
Tafadhali, naomba tutumie uzi huu kwa kutaja, nyumba za wageni ambazo ni rahisi mtu kukaa na kufika eneo la Usaili kwa gharama ndogo, maeneo zilipo, gharama na hata mawasiliano kama yapo. Hii itasaidia wengi hasa wanaokwenda kwenye Saili Dodoma kwa mara ya kwanza, au hata waliowahi kwenda na wakaishia kuteseka.
NB: Japo sio kwa umuhimu, inasemekana wengine hulala nje, baa na maeneo mengine kwa kutokuwa na pesa kabisa. Kama hayo maeneo yapo na ni salama naomba tusaidiane kuyataja ili watakaojikuta hali haziruhusu wakimbilie huko.
Asante.
nakuja Pm mkuuMimi huwa nikienda kifanya usaili Dodoma nalala lodge ya buku saba japo mazingira huwa ni magumu ila nakomaaa na ni karibu na Dom nauli huwa ni buku bajaji ukiwa unahitaji ni pm nikupe number zao hiyo lodge,,,saili zangu zote huwa nafikia hapo
Poa nishakutumia namber ni ya kininja sana bei buku saba single na master 10000 tu bajaji kwenda UDOM 1000 shida uwahi tunakuja Pm mkuu
Mimi ambaye naenda tarehe 5, nitakuta ishajazwa na watu Bungeni ambao wana usahili siku hiyoPoa nishakutumia namber ni ya kininja sana bei buku saba single na master 10000 tu bajaji kwenda UDOM 1000 shida uwahi tu
Cha msingi uwasiliane nao najua watoto wa kishua wengi hawapawezi nilikaaga pale mimi kibishi so unaweza bahatishaMimi ambaye naenda tarehe 5, nitakuta ishajazwa na watu Bungeni ambao wana usahili siku hiyo