Uzi wa sehemu za gharama nafuu kulala kwa wanaokwenda kwenye saili Dodoma

Uzi wa sehemu za gharama nafuu kulala kwa wanaokwenda kwenye saili Dodoma

Sawa mkuu.

Hivi CIVE ipo wapi? Karibu na Utumishi?
Nadhani huko ni UDOM hautopotea ila utumishi ni tofauti uzuri wa kule ukimshika bajaji yoyote anakuelekeza bajaji zinazoenda maeneo hayo ila vyema ukawahi ili ukacheck mazingira before event
 
Nadhani huko ni UDOM hautopotea ila utumishi ni tofauti uzuri wa kule ukimshika bajaji yoyote anakuelekeza bajaji zinazoenda maeneo hayo ila vyema ukawahi ili ukacheck mazingira before event
Sawa mkuu
 
Wakuu halafu hii inshu ya mtu ana vitambulisho ila vina majina matatu japo vyeti vina majina mawili, wanaweza kumgomea asiingie kwenye usaili? ...
 
Wakuu halafu hii inshu ya mtu ana vitambulisho ila vina majina matatu japo vyeti vina majina mawili, wanaweza kumgomea asiingie kwenye usaili? ...
Sidhani kama inaweza kuwa changamoto ninavyojua mimi wanangali jee anayefanya usaili ndiye mwenyewe ila ngoja waje wengine wakushauri changamoto kama hiyo
 
Wakuu halafu hii inshu ya mtu ana vitambulisho ila vina majina matatu japo vyeti vina majina mawili, wanaweza kumgomea asiingie kwenye usaili? ...
Kitambulisho gani kina majina 2 kati ya wanavyovitaka?
 
Kitambulisho gani kina majina 2 kati ya wanavyovitaka?

Yani miaka ya nyuma mashuleni waliruhusu mtu kutumia majina mawili na akapata vyeti vya NECTA vya majina mawili, ila lilipokuja zoezi la kitambulisho cha NIDA ikahitajika matatu.


Sasa nikawa nahofia watu wa aina hii, NIDA yanaonekana matatu ila vyeti vya elimu mawili, pengine wanaweza kukataa kumtambua.
 
Yani miaka ya nyuma mashuleni waliruhusu mtu kutumia majina mawili na akapata vyeti vya NECTA vya majina mawili, ila lilipokuja zoezi la kitambulisho cha NIDA ikahitajika matatu.


Sasa nikawa nahofia watu wa aina hii, NIDA yanaonekana matatu ila vyeti vya elimu mawili, pengine wanaweza kukataa kumtambua.
Hakuna tatizo.

Mimi nimo humu ndani kwenye maelezo yako.

Natumia majina 2 kwenye vyeti vyote isipokuwa cha kuzaliwa na NIDA, KURA.
 
Kuna usafiri wa kutoka dar to dsm nauli 42 kwenda na kurudi......
Link ya group [emoji116]


Asante sana Mkuu, naomba utupe maelezo kidogo ili iwe rahisi kujiunga. Kwa mfano, ni gari ya aina gani, ubora wake ni upi, inahitaji watu wangapi, na ni kwa namna gani itakuwa chaguo bora mtu akilinganisha na mengine?
 
Asante sana Mkuu, naomba utupe maelezo kidogo ili iwe rahisi kujiunga. Kwa mfano, ni gari ya aina gani, ubora wake ni upi, inahitaji watu wangapi, na ni kwa namna gani itakuwa chaguo bora mtu akilinganisha na mengine?
Vuta subira anaandaa muongozo
 
Kitu kikubwa ambacho sijawahi kuacha kujiuliza ni ipi hasa sababu ya msingi kwa Utumishi kushindwa kufanya Saili zifanyike angalau kwa kila jiji.

Nakuwa na wasiwasi kwamba asilimia kubwa ya watoto wa walala hoi hawamudu hizi gharama za kutoka mikoa yao wanayoishi kufunga safari mpaka Dodoma ili kufanya bahati nasibu ya kupata kazi.
 
Back
Top Bottom