Nafasi zipo tatu tu๐๐๐sema hatukuwa wengi sana kama wa engineering na geology๐๐๐ Nafasi ni ngapi mzee mnazowania
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nafasi zipo tatu tu๐๐๐sema hatukuwa wengi sana kama wa engineering na geology๐๐๐ Nafasi ni ngapi mzee mnazowania
Ila matumaini yapo mkuu au tuawachie waamue waoNafasi zipo tatu tu๐๐๐sema hatukuwa wengi sana kama wa engineering na geology
Kwahyo na enjinia siku hz taarifa wamekuwa wengi๐ค๐คNafasi zipo tatu tu๐๐๐sema hatukuwa wengi sana kama wa engineering na geology
aaah๐๐๐๐tuachie waamue aseeh sina uhakikaIla matumaini yapo mkuu au tuawachie waamue wao
Walikua wengi leo sijui wametoka wapiKwahyo na enjinia siku hz taarifa wamekuwa wengi๐ค๐ค
Walitaka kutuulia watu kwa mkunjo huo aiseeeNimekutana na mdada wa clearing and forwarding anasema hajaelewa swali lolote๐๐๐๐๐
๐๐๐๐Lakini fresh tu mapambano yanaendeleaWalitaka kutuulia watu kwa mkunjo huo aiseee
Hapo umenena mzee haina kupoa mimi nikikuhadisia saili nilizopiga mtu mwengine angeshakata tamaaa ila sijapoa napambana kote kote life la kitaa na fulsa ikitoka napambana nayo pia๐๐๐๐Lakini fresh tu mapambano yanaendelea
Kanuni ya Jobless na ukiwa huna chanzo cha mapato, haipaswi kutumia gharama kubwa sana pasipo kuwa na ulazima isipokuwa penye ulazima.Hahaha, kwenye gharama kweli ni hatari kwa watafutaji. Ila kwa hizo huduma zinaridhisha sana, hata pesa yako inakwenda kihalali.
Asante sana kwa mrejesho Mkuu. Naamini wanaomudu watafika hapo.
Sijapata mtu wa kushare naye, niliambatana na mdada ambaye na yeye alichukua room yakesasa kwanini msishee room moja kupunguza garama
Hapo umenena mzee haina kupoa mimi nikikuhadisia saili nilizopiga mtu mwengine angeshakata tamaaa ila sijapoa napambana kote kote life la kitaa na fulsa ikitoka napambana nayo pia
Saili imefika tamati muda wa saa saba na dk kama 20 hivi kwa siku ya leo.Saili zimeaandaje hapo PSRS.. au bado watu wanaendelea kuenyeka Hadi time now..?
Kanuni ya Jobless na ukiwa huna chanzo cha mapato, haipaswi kutumia gharama kubwa sana pasipo kuwa na ulazima isipokuwa penye ulazima.
Kwa hiyo tuishi humo humo