Uzi wa sehemu za gharama nafuu kulala kwa wanaokwenda kwenye saili Dodoma

Uzi wa sehemu za gharama nafuu kulala kwa wanaokwenda kwenye saili Dodoma

๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚Lakini fresh tu mapambano yanaendelea
Hapo umenena mzee haina kupoa mimi nikikuhadisia saili nilizopiga mtu mwengine angeshakata tamaaa ila sijapoa napambana kote kote life la kitaa na fulsa ikitoka napambana nayo pia
 
Nimekutana na mdada wa clearing and forwarding anasema hajaelewa swali lolote[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Duh! Jamaa wanakomoa ili mtu usipoitwa Oral ukose sababu.
 
Hahaha, kwenye gharama kweli ni hatari kwa watafutaji. Ila kwa hizo huduma zinaridhisha sana, hata pesa yako inakwenda kihalali.

Asante sana kwa mrejesho Mkuu. Naamini wanaomudu watafika hapo.
Kanuni ya Jobless na ukiwa huna chanzo cha mapato, haipaswi kutumia gharama kubwa sana pasipo kuwa na ulazima isipokuwa penye ulazima.

Kwa hiyo tuishi humo humo
 
Kwahyo na enjinia siku hz taarifa wamekuwa wengi[emoji848][emoji848]

Yani kwa hali ya sasa ni wazi hata dogo akikuomba ushauri asomee nini chenye uhakika wa ajira, unaweza ukaishia kumtazama kwa jicho la huruma bila ya jibu.
 
Hapo umenena mzee haina kupoa mimi nikikuhadisia saili nilizopiga mtu mwengine angeshakata tamaaa ila sijapoa napambana kote kote life la kitaa na fulsa ikitoka napambana nayo pia

Mkuu, tupe simulizi angalau kwa uchache, utawapa wengi sana ujasiri na pengine inawezakuwa ni aina ya fadhila itakayopelekea utimize ndoto zako.
 
Saili zimeaandaje hapo PSRS.. au bado watu wanaendelea kuenyeka Hadi time now..?
Saili imefika tamati muda wa saa saba na dk kama 20 hivi kwa siku ya leo.

Zimefanyika session 2 za saili leo hapa Auditorium.

Daa, nimetegwa hatari, nimesoma mengine yametoka mengine, hapa wakitoa matokeo mapema kesho nitakuwa road kurudi nyumbani
 
Kanuni ya Jobless na ukiwa huna chanzo cha mapato, haipaswi kutumia gharama kubwa sana pasipo kuwa na ulazima isipokuwa penye ulazima.

Kwa hiyo tuishi humo humo

Mkuu hii kanuni nimeikubali sana, hasa ukizingatia Jobless hata kama unapata pesa huwa haitabiriki, muda wowote unaweza kupata dili na muda wowote mambo yanaweza kukauka kwa muda mrefu usiojulikana.
 
Back
Top Bottom