Maamuzi yao ya kitoto ndiyo yanatufanya hata tuone kuwapa nchi ni kuiweka rehani nchi yetu.Hiyo mpesa si kampuni ya vodacom ambayo siku kadhaa tuliona viongozi wake wa chadema wakikata laini zake kwa kususia, imekuwaje tena?? Au zilikuwa hasira za mkizi tu.?
Mmawia hapokei simu sasa hivi. Hii nini hii? Oooh sisiemu wanabeba watu ktk matuso, hii nini?Na ipo hasa. View attachment 1552000
Inawauma nyie😀😀😀halafu sisi tuzoee how?Inauma, itabidi muzoee.
Nipo kwenye mkutano hapa na nimefika muda mrefu sana ili kusikikiza sera mbadala kutoka kwa viongozi wetu na mgombea wetu.
Kabla ya yote jana mgombea wetu alitueleza kuwa tutafanya maandamano ya amani kabla ya mkutano kuanza ila ukweli ni kuwa hatujafanya maandamano hadi sasa na tupo hapa hatujui kinachoendelea.
Watu tupo wachache kuliko jana mbagala, ila hii inaweza kuwa bahati mbaya kwa sababu nadhani wamechagua sehemu ambayo haikuwa sahihi.
Kawe ni sehemu ambayo imezungukwa na sehemu za ushuani ambao huwa hawapendi kabisa mikutano ya kisiasa. Ningekuwa mimi huu mkutano leo ungefanyika ubungo, magomeni au kimara lingetafutwa eneo zuri la wazi maeneo hayo kwa ajili ya mkutano.
Ila yote kwa yote kuna shida ndani ya chama.
Shehe pale anatoa sara au ni msemaji wa chadema?
Hahahaaa...afu mipicha yao si ya CCM mpya, ngoja tuwaoneshe hizo picha ni za lini.Mmawia hapokei simu sasa hivi. Hii nini hii? Oooh sisiemu wanabeba watu ktk matuso, hii nini?
Ndiyo maana Mwenyekiti Faru John aliwafukuza TBC1 wangeonyesha hii dunia ingejua ukweli ili wasiwadanganye.
Leo jpm kaongea mkuu, mmepata upenyo wa kudandia? Na safari hii hata polisi hawawagusi hata muwatusi namna gani, ni lazima mlikoroge wenyewe hamna wa kumlaumu.Naomba ukae kimya, nisije nikakutukana nikapigwa ban.
Kaka sio lugha yako kabisa hii ulo tumia unaeshimika sana hap jfMmojawapo wa misukule ya kijani
Wapo kwenye jaramba wanakuja kwa maandamano!
Huyu wa kipekee sana.ila siasa inataka kumyumbisha.Kaka sio lugha yako kabisa hii ulo tumia unaeshimika sana hap jf
Umemsikia katimba anayoyasema badala ya sara yeye ameanza kuhubili chuki na mamabo ya udini na ukabila,Haikufaa 'Rangi' itafaa 'Chokaa' Mkuu?
Acha uongo wewe umepiga picha watu wa mwisho. Watu wapo wachache ila sio kwa hiyo picha yakoView attachment 1551985
nyomi la kawe hili hapa
Wewe ndiye tatizoNipo kwenye mkutano hapa na nimefika muda mrefu sana ili kusikikiza sera mbadala kutoka kwa viongozi wetu na mgombea wetu.
Kabla ya yote jana mgombea wetu alitueleza kuwa tutafanya maandamano ya amani kabla ya mkutano kuanza ila ukweli ni kuwa hatujafanya maandamano hadi sasa na tupo hapa hatujui kinachoendelea.
Watu tupo wachache kuliko jana mbagala, ila hii inaweza kuwa bahati mbaya kwa sababu nadhani wamechagua sehemu ambayo haikuwa sahihi.
Kawe ni sehemu ambayo imezungukwa na sehemu za ushuani ambao huwa hawapendi kabisa mikutano ya kisiasa. Ningekuwa mimi huu mkutano leo ungefanyika ubungo, magomeni au kimara lingetafutwa eneo zuri la wazi maeneo hayo kwa ajili ya mkutano.
Ila yote kwa yote kuna shida ndani ya chama.