mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
Vp dodoma nipe list ya wasanii basiHahaha! Wako na umri zaidi ya 18 na ni wapiga kura wale, afu jaribuni kutumia picha halisi basi kama hii.
Wakatao kuwepo
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vp dodoma nipe list ya wasanii basiHahaha! Wako na umri zaidi ya 18 na ni wapiga kura wale, afu jaribuni kutumia picha halisi basi kama hii.
Hivi plate namba inaweza kukuonyesha kuwa hii picha ya Leo?Hizi picha mbona mnaficha plate namba za magari? Achen Waz tuhakiki hizi picha Ni za lini vinginevyo mnafanya usanii tu CDM [emoji3]
Eeh, kuna moja ya monduli.Hizi ni za zamani kumbe?
Eeeh, ilikuwa ya ADC au CUF?Eeh, kuna moja ya monduli.
AiseeeHahaha! Wako na umri zaidi ya 18 na ni wapiga kura wale, afu jaribuni kutumia picha halisi basi kama hii.
[emoji23][emoji23][emoji23]Front siti kabisa. Kule idyodyomiya kuna tamasha la wanamuziki 200+
TUNATAKA MKUTANO WA KISIASA SIYO TAMASHA LA WANAMUZIKIRais Mtarajiwa wa Tanzania ambaye pia ni Mgombea Urais wa Chadema Mh Tundu Lissu, ambaye wachambuzi wa kisiasa wanamkadiria kujinyakulia zaidi ya 70% ya kura zote, leo tena anaingia kwenye viwanja vya Tanganyika Packers kuongea na wananchi.
Ni CCM Aisee.Eeeh, ilikuwa ya ADC au CUF?
Hahahaaa..hukuangalia TBC nadhani, walianza kurusha mida ya kumi na moja kasoro na hizo picha ni muda ule Mbowe anatoa povu kwa TBC kwamba wamekata hivyo waondoke, muda mfupi tu kabla Lissu hajaanza kuongea, hali ni tete.Hapana hilo jua ni la saa tano tano hivi asubuhi maana kivuli cha jioni kinakua upande wa mashariki.
HUU NI UPUMBAVU KABISADodoma tunaingia "wanyonge" kuona wasanii. Twajua mawili yanatukabili;
1. Kurudi kwa miguu nyumbani kwani baadae hakuna cha Lori na hilo la kutoswa tumelizoea.
2. Kura yetu haiwezi kununuliwa na wakata viuno jukwaani kwa siku moja. Sherehe hazita tuletea maisha bora na watoto wetu.View attachment 1551687View attachment 1551688
Mmeanza kuunganisha picha za 2015na hapa ni wapi ?View attachment 1551685
CCM ni ile ileNi CCM Aisee.
Sasa mantiki ya kuweka outdated picture ni nini?
kama una jua types of photographs huwezi ongea upuuzina hapa ni wapi ?View attachment 1551685
Hahaha...bahati mbaya sana hayupo, labda kama wewe umejipa ubaba wangu, ruksa ni haki yako ya kikatiba baba.Baba yako naye shoga?maana yuko amesema atampigia kura Lissu
ACHA UJINGA PICHA ZA LEO HIZIMmeanza kuunganisha picha za 2015
Dah asilimia 70 ya kura zote??Rais Mtarajiwa wa Tanzania ambaye pia ni Mgombea Urais wa Chadema Mh Tundu Lissu, ambaye wachambuzi wa kisiasa wanamkadiria kujinyakulia zaidi ya 70% ya kura zote, leo tena anaingia kwenye viwanja vya Tanganyika Packers kuongea na wananchi.
Baba yako yupo ila amesema tusikutaarifu wewe mtoto wake unaweza ukamdhuru,maana anajua kazi yakoHahaha...bahati mbaya sana hayupo, labda kama wewe umejipa ubaba wangu, ruksa ni haki yako ya kikatiba baba.
ungejua Nguvu iliyoko mitandaoni ungejidharau sana !
Aongee sera na kwa nini yeye na si wengine ?Rais Mtarajiwa wa Tanzania ambaye pia ni Mgombea Urais wa Chadema Mh Tundu Lissu, ambaye wachambuzi wa kisiasa wanamkadiria kujinyakulia zaidi ya 70% ya kura zote, leo tena anaingia kwenye viwanja vya Tanganyika Packers kuongea na wananchi.