Administer
JF-Expert Member
- Feb 9, 2020
- 1,271
- 1,604
MIMI NINGEWAPA DK 5 TBC WAONDOKETBC hawatak kumsikia huyu MwambaView attachment 1551718
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MIMI NINGEWAPA DK 5 TBC WAONDOKETBC hawatak kumsikia huyu MwambaView attachment 1551718
sasa kama watu kwaupendo wao wameamua kwenda kushuhudia uzinduzi wa chama pendwa ulitaka waende kwa miguu? mmekwisha chadema na shoga lenu lissuDodoma tunaingia "wanyonge" kuona wasanii. Twajua mawili yanatukabili;
1. Kurudi kwa miguu nyumbani kwani baadae hakuna cha Lori na hilo la kutoswa tumelizoea.
2. Kura yetu haiwezi kununuliwa na wakata viuno jukwaani kwa siku moja. Sherehe hazita tuletea maisha bora na watoto wetu.View attachment 1551687View attachment 1551688
HAKUNA TAMASHA LA WANAMUZIKI HAPOHahaha! Wako na umri zaidi ya 18 na ni wapiga kura wale, afu jaribuni kutumia picha halisi basi kama hii.
hana sera za kuwaambia watu atasema nini sasa hata ilani hawanaAongee sera na kwa nini yeye na si wengine ?
Ni kweli jana hawakujipanga! Unafunguaje kampeni siku ya kazi (ijumaa)? Na hawakutangaza kivile sababu watu wengi hawakujua kama kuna huo mkutano wa kampeni hiyo jana. Halafu kwenye eneo ambalo Chadema hawana nguvu kisiasa. Hawajawahi kushinda ubunge huko Mbagala au Temeke. Lile ni eneo la ACT (au CUF ya enzi zile). Hapohapo si tabia yao kubeba watu kwenye malori kujaza hilo eneo. Kosa sio kosa bali kurudia kosa. Wana siku 59 za kurekebisha haya mapungufu makubwa!Aibu ya Jana ndo imewafanya waogope hata kupost.
Punguza stress mkuu, weka TBC hapo.HAKUNA TAMASHA LA WANAMUZIKI HAPO
kama mkutano wa diwani yaaniSasa hiyo mnakuwa mnawatenga wa nyuma hawaonekani mkuu, mmechukuwa tu wa mbele na anga kana kwamba wanaenda mbinguni, wekeni aerial view inayoonesha washiriki wote kabisa.. vivuli vinaonesha kabisa jua likielekea kuzama yaani ni kuelekea mwisho wa mkutano mkuu. View attachment 1551691
Kama ni ile ile maana yake za leo pia zingekuwepo.CCM ni ile ile
SINA MUDA MCHAFUPunguza stress mkuu, weka TBC hapo.
Exellent. You will have my donation.Rais Mtarajiwa wa Tanzania ambaye pia ni Mgombea Urais wa Chadema Mh Tundu Lissu, ambaye wachambuzi wa kisiasa wanamkadiria kujinyakulia zaidi ya 70% ya kura zote, leo tena anaingia kwenye viwanja vya Tanganyika Packers kuongea na wananchi.
Chama cha saccoss kwa kweli, na mnatembeza bakuli la kuchangishana, wakati huwa mnawakata wabunge pesa ambayo mnadai kuwa ni kwa ajili ya kuendesha kampeni, CDM bado sana sanaRais Mtarajiwa wa Tanzania ambaye pia ni Mgombea Urais wa Chadema Mh Tundu Lissu, ambaye wachambuzi wa kisiasa wanamkadiria kujinyakulia zaidi ya 70% ya kura zote, leo tena anaingia kwenye viwanja vya Tanganyika Packers kuongea na wananchi.
Kuna watu mapigo ya moyo yanaenda fasita sana wakiona nyomi hii bila wasanii 200+.na hapa ni wapi ?View attachment 1551685
Mimi niko hapa Manyoni nashangaa hadi huku Fuso ziko bize zimepita alufajiri hahahaa!!! CCM inawatapeli WatanzaniaNa mikusanyiko ya sherehe hiyo ya tamasha la wasanii pale Jamhuri inaendelea kwa malori yaliyofuata watu Mpwapwa, Kongwa, Bahi nk.
Sherehe ya siku moja ya wasanii na tabu ya maisha miaka mitano hilo halihitaji digrii kuelewa mtu anachagua nini!
Hajui ni wa akina nani tuko mtandaoni. Yeye asifikiri kuwa tuko vijana wahuni tu. La hasha.ungejua Nguvu iliyoko mitandaoni ungejidharau sana !
Hawa ni watu au ng'ombe wanapelekwa mnadani?Dodoma tunaingia "wanyonge" kuona wasanii. Twajua mawili yanatukabili;
1. Kurudi kwa miguu nyumbani kwani baadae hakuna cha Lori na hilo la kutoswa tumelizoea.
2. Kura yetu haiwezi kununuliwa na wakata viuno jukwaani kwa siku moja. Sherehe hazita tuletea maisha bora na watoto wetu.View attachment 1551687View attachment 1551688
Picha from tbcHahaha! Wako na umri zaidi ya 18 na ni wapiga kura wale, afu jaribuni kutumia picha halisi basi kama hii.
Dada Victoire! Nimeona umekomalia hili la kuwaomba wanadi 'sera' zao sana. Bado kuna mapingamizi/ kuenguliwa kwingi hakujatolewa uamuzi na Tume. Ni zaidi ya hao wabunge 18 waliotangazwa jana na Tume kupita bila kupingwa. Wakianza tu kunadi sera kama unavyowahimiza na itokee Tume ibariki huko kuenguliwa kote kwa wapinzani ushindi wa uchaguzi unakuwa umeshaenda chama tawala kupitia meza za Wasimamizi wa uchaguzi na Tume. Unahitaji kujiondoa ufahamu ili kuendelea kunadi 'sera' katika mazingira ya aina hii. Kwenye hili wamefanya uamuzi wenye tija.......ingawaje itachukua muda kwa baadhi ya watu kuuelewa........Aongee sera na kwa nini yeye na si wengine ?
Ninyi yapata sasa miaka 60 mnaendelea kutupora. Mbona hamshibi?Chama cha saccoss kwa kweli, na mnatembeza bakuli la kuchangishana, wakati huwa mnawakata wabunge pesa ambayo mnadai kuwa ni kwa ajili ya kuendesha kampeni, CDM bado sana sana