Uchaguzi 2020 Uzinduzi wa Kampeni za Mgombea Urais wa CHADEMA waendelea, Kawe kumewaka moto leo

Uchaguzi 2020 Uzinduzi wa Kampeni za Mgombea Urais wa CHADEMA waendelea, Kawe kumewaka moto leo

Kumtoa mtu ndani kwake hadi aje kusikiliza sera zako ni jambo ambalo linahitaji technique nyingi. Kwanza hamasa

CHADEMA hamkua na hamasa yoyote ya kuhamasisha watu juu ya uzinduzi wa kampeni yenu, amsha amsha hazikuepo kama zile enzi za Dkt. Slaa.

Hamkua na vitu vya kushawishi watu waje zaidi ya Lissu, hamuoni CCM wanakodi mpaka wasanii ili wajaze uwanja?

CHADEMA mnafeli, Katibu Mkuu umefeli.

Kiujumla mmefeli nyote na mkiendelea hivyo hivyo mtapoteza mvuto kabisa.
Kizuri chajiuza na kibaya(ccm) chajitangaza.

Ukitaka sera za mabadilko ya kweli chagua Lisu, ukitaka porojo na utapeli chagua Magufualianz

Umezaliwa mwaka gani ?
 
Kawe netwok ya mitandao imekata, leo hamna kuelekezana mambo ya miamala!
 
Haieleweki kama unapinga au unalia !
Sema watz wengi waoga sana wa mabadiliko, halafu wengi hawatambui haki zao.

Nchi hii ingekuwa na vichwa kumi kama Lisu kila mkoa, ujinga na unyanyasi wa ccm dhidi ya Raia ungekomeshwa mapema sana.

Watz mmezidi unyonge na uoga ndio maana mnachezewa sharabu kila siku.
 
Aliyewaita hawa jamaa ni NYUMBU hakukosea. Walikuwa na ile program ya kuhamasishana kuhama VODA lkn ona leo katika hilo tangazo lao la kuchangia.
 
1598699597055.png


CCM pumzi imekata
 
Taarifa nilizopata kutoka ndani ya CDM zinasema Baada ya Jana CDM kukosa watu na Leo CCM kuujaza uwanja wa JAMHURI, sasa CDM mkutano wao wa leo wamepanga yafuatayo.

-Kuitukana CCM na Wagombea wake MUDA wote bila kunadi sera zao.

-Kuvitukana vyombo vya Habari kwa mwamvuri wa TBC kuwa wapo double standard.

-Kuishambulia tume ya uchaguzi kuwa imewaengua wagombea wao bila Makosa .

-Pia watazungumzia kesi walizokumbana nazo na kueleza juu ya muujiza unaotembea.

MUDA huu wapo wanasikiliza hotuba ya CCM huko Dodoma.

Jamaa wameshikwa vibaya. Hawa kuamini Kama CCM itapata idadi ya watu wengi kiasi hicho Dodoma. Hii ahadi ya kununua ndege tano mwaka 2021/2025 imeleta mjadala mzito huko ufipa.

Nitaendelea
 
Back
Top Bottom