Mfikirishi
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 8,939
- 10,403
na hapa ni wapi ?View attachment 1551685
Yaani hapa ndo mnaponishinda tabia na upeo... Idadi ya watu kwenye mikutano ya kisiasa haina tija kama wasimamizi wa uchaguzi wakoupande wa watawala...!
Labda mnambie waingie barabarani kwa idadi hiyo hiyo kudai kurejeshwa kwa wagombea na kushinikiza kuondolewa kwa wasimamizi waliochini ya watawala...!