Uchaguzi 2020 Uzinduzi wa Kampeni za Mgombea Urais wa CHADEMA waendelea, Kawe kumewaka moto leo

Uchaguzi 2020 Uzinduzi wa Kampeni za Mgombea Urais wa CHADEMA waendelea, Kawe kumewaka moto leo

Kumtoa mtu ndani kwake hadi aje kusikiliza sera zako ni jambo ambalo linahitaji technique nyingi. Kwanza hamasa

CHADEMA hamkua na hamasa yoyote ya kuhamasisha watu juu ya uzinduzi wa kampeni yenu, amsha amsha hazikuepo kama zile enzi za Dkt. Slaa.

Hamkua na vitu vya kushawishi watu waje zaidi ya Lissu, hamuoni CCM wanakodi mpaka wasanii ili wajaze uwanja?

CHADEMA mnafeli, Katibu Mkuu umefeli.

Kiujumla mmefeli nyote na mkiendelea hivyo hivyo mtapoteza mvuto kabisa.
Kuvutia kivipi? Umesahau ya kuwa unaweza kumpeleka punda mtoni ila kamwe huwezi kumlazimisha kunywa maji? Mimi mwenyewe nipo Dodoma kupata burdani kutoka kwa wasanii 200 ila kura yangu ni kwa Lissu
 
Mimi nasubiri moto wa Tanganyika Packers tu. Hayo ya Dodoma utayajua kivyako.
Nyomi la kawe...[emoji1787][emoji1787]
IMG-20200829-WA0288.jpg
 
Nipo kwenye mkutano hapa na nimefika muda mrefu sana ili kusikikiza sera mbadala kutoka kwa viongozi wetu na mgombea wetu.

Kabla ya yote jana mgombea wetu alitueleza kuwa tutafanya maandamano ya amani kabla ya mkutano kuanza ila ukweli ni kuwa hatujafanya maandamano hadi sasa na tupo hapa hatujui kinachoendelea.

Watu tupo wachache kuliko jana mbagala, ila hii inaweza kuwa bahati mbaya kwa sababu nadhani wamechagua sehemu ambayo haikuwa sahihi.

Kawe ni sehemu ambayo imezungukwa na sehemu za ushuani ambao huwa hawapendi kabisa mikutano ya kisiasa. Ningekuwa mimi huu mkutano leo ungefanyika ubungo, magomeni au kimara lingetafutwa eneo zuri la wazi maeneo hayo kwa ajili ya mkutano.

Ila yote kwa yote kuna shida ndani ya chama.
 
Daaaah nashindwa kuelewa what next but unaeza kuta watu wameuchuna tu hawataki kujionyesha hadharan kuwa wao Ni wapimzan alafu kwenye sanduku la kura wakafanya maajabu tuwe wavumilivu October 28 sio mbali [emoji3577][emoji3577]
 
Back
Top Bottom