Msanii
Platinum Member
- Jul 4, 2007
- 25,252
- 36,513
Makamanda wameishiwa pumziWananchi wameitupilia chadema mbali..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Makamanda wameishiwa pumziWananchi wameitupilia chadema mbali..
Awalaumu washabiki wa nyuma ya keyboard ndo walimdanganya.
Acha uongo! Mafuliko ya Kawe siyo hayo.na hapa ni wapi ?View attachment 1551685
Tukisikilizia home ina athari zozote kwa campaign na uchaguzi kwa ujumla?Kumtoa mtu ndani kwake hadi aje kusikiliza sera zako ni jambo ambalo linahitaji technique nyingi. Kwanza hamasa
CHADEMA hamkua na hamasa yoyote ya kuhamasisha watu juu ya uzinduzi wa kampeni yenu, amsha amsha hazikuepo kama zile enzi za Dkt. Slaa.
Hamkua na vitu vya kushawishi watu waje zaidi ya Lissu, hamuoni CCM wanakodi mpaka wasanii ili wajaze uwanja?
CHADEMA mnafeli, Katibu Mkuu umefeli.
Kiujumla mmefeli nyote na mkiendelea hivyo hivyo mtapoteza mvuto kabisa.
Mungu wangu, watu hawa ndio wampeleke Lissu ikulu??, hata jua litokee wapi, halfu hapo wanadai DAR eti ndio ngome yaoSasa hiyo mnakuwa mnawatenga wa nyuma hawaonekani mkuu, mmechukuwa tu wa mbele na anga kana kwamba wanaenda mbinguni, wekeni aerial view inayoonesha washiriki wote kabisa.. vivuli vinaonesha kabisa jua likielekea kuzama yaani ni kuelekea mwisho wa mkutano mkuu. View attachment 1551691
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]....ndoto za mchana.Daaaah nashindwa kuelewa what next but unaeza kuta watu wameuchuna tu hawataki kujionyesha hadharan kuwa wao Ni wapimzan alafu kwenye sanduku la kura wakafanya maajabu tuwe wavumilivu October 28 sio mbali [emoji3577][emoji3577]
Ili kuweza kujenga hoja ni lazima ushabiki na misimamo ya ajabu tuiweke pembeni.
Bado sijajua ni kwanini awamu hii muitikio umekuwa ni hafifu mno aiseee.
Tukae chini na kujiuliza ni wapi shida ilipo.
Misukule ya kijani hii
Dada yenu mange vipi na chahali hawajatoa tamko?Mmojawapo wa misukule ya kijani
Missing coordination , Sera hakuna , wadosi wa kawe hawanaga porojo za kutukanana na kutishiwa kuandamana
Sasa msubiri siku mchungaji ana mkutano wake, mwenye jimbo lakeMissing coordination , Sera hakuna , wadosi wa kawe hawanaga porojo za kutukanana na kutishiwa kuandamana
Uncle itendee haki beji ya " platinum member".Mmojawapo wa misukule ya kijani
Ni Mtanzania...sidhani Kama ni yule wakili wa belgiumWe ni nani hasa
hadi uzuni kweli kazi ipoView attachment 1551985
nyomi la kawe hili hapa
Uncle itendee haki beji ya " platinum member".