Uchaguzi 2020 Uzinduzi wa Kampeni za Mgombea Urais wa CHADEMA waendelea, Kawe kumewaka moto leo

Uchaguzi 2020 Uzinduzi wa Kampeni za Mgombea Urais wa CHADEMA waendelea, Kawe kumewaka moto leo

Dada Victoire! Nimeona umekomalia hili la kuwaomba wanadi 'sera' zao sana. Bado kuna mapingamizi/ kuenguliwa kwingi hakujatolewa uamuzi na Tume. Ni zaidi ya hao wabunge 18 waliotangazwa jana na Tume kupita bila kupingwa. Wakianza tu kunadi sera kama unavyowahimiza na itokee Tume ibariki huko kuenguliwa kote kwa wapinzani ushindi wa uchaguzi unakuwa umeshaenda chama tawala kupitia meza za Wasimamizi wa uchaguzi na Tume. Unahitaji kujiondoa ufahamu ili kuendelea kunadi 'sera' katika mazingira ya aina hii. Kwenye hili wamefanya uamuzi wenye tija.......ingawaje itachukua muda kwa baadhi ya watu kuuelewa........
Wenye akili mgando ndiyo basi tena.
 
Hivi una akili kweli ,unasema Chadema haikuhamasisha watu,hawaruhusiwi kutangaza kwenye radio na tv wanatumia tu mitandao na wamejaza nyomi halafu unawalaumu ,kuonyeshwa kwenye hiyo tv yenu uchwara baada ya kuacha waongee mnachambua kama documentary.

Nye CCM mmetangaza uzinduzi karibia tv na redio zote na wanamziki kama 200 sasa hivi singeli inaendelea na hamna nyomi ,hamtambui mmeshachokwa
wewe ni tabulasa
 
Kumtoa mtu ndani kwake hadi aje kusikiliza sera zako ni jambo ambalo linahitaji technique nyingi. Kwanza hamasa

CHADEMA hamkua na hamasa yoyote ya kuhamasisha watu juu ya uzinduzi wa kampeni yenu, amsha amsha hazikuepo kama zile enzi za Dkt. Slaa.

Hamkua na vitu vya kushawishi watu waje zaidi ya Lissu, hamuoni CCM wanakodi mpaka wasanii ili wajaze uwanja?

CHADEMA mnafeli, Katibu Mkuu umefeli.

Kiujumla mmefeli nyote na mkiendelea hivyo hivyo mtapoteza mvuto kabisa.
Hukuona yaliyotoke jana? Subiri ya leo. Watu wanahudhulia mkutano kwa hiari yao siyo kwa kusombwa na Fuso.
 
Ila Kwa kweli inakatisha tamaa Sana,
Watanzania mkoje? Mna sababu zipi za kutokuipenda Chadema na Lisu?

Acheni hizo, njoeni mjaze viwanja vya Tanganyika leo mmtie moyo mgombea uraisi mwenye damu nyingi za kenya
 
Chama cha saccoss kwa kweli, na mnatembeza bakuli la kuchangishana, wakati huwa mnawakata wabunge pesa ambayo mnadai kuwa ni kwa ajili ya kuendesha kampeni, CDM bado sana sana
Vp dom misambwanda bd hawajapandishwa watoe burdan

Ova
 
Kumtoa mtu ndani kwake hadi aje kusikiliza sera zako ni jambo ambalo linahitaji technique nyingi. Kwanza hamasa

CHADEMA hamkua na hamasa yoyote ya kuhamasisha watu juu ya uzinduzi wa kampeni yenu, amsha amsha hazikuepo kama zile enzi za Dkt. Slaa.

Hamkua na vitu vya kushawishi watu waje zaidi ya Lissu, hamuoni CCM wanakodi mpaka wasanii ili wajaze uwanja?

CHADEMA mnafeli, Katibu Mkuu umefeli.

Kiujumla mmefeli nyote na mkiendelea hivyo hivyo mtapoteza mvuto kabisa.
Umeandika UPUIZI wa standard gauge 🤣🤣🤣🤣
 
Rais Mtarajiwa wa Tanzania ambaye pia ni Mgombea Urais wa Chadema Mh Tundu Lissu, ambaye wachambuzi wa kisiasa wanamkadiria kujinyakulia zaidi ya 70% ya kura zote, leo tena anaingia kwenye viwanja vya Tanganyika Packers kuongea na wananchi.


Ombi langu kuu kwa Chadema!! Pages zenu zote kuanzia Twitter, Facebook na kwingine kooote, hakikisheni mnasambazo haya matangazo ya michango kupitia simu.
Nimeshtuka hata kwenye page ya Chadema ya Twitter yenye followers laki tatu na ushee hamjaweka matangazo ya kuchangiwa pesa!!!

Fanyieni kazi haya
 
Ombi langu kuu kwa Chadema!! Pages zenu zote kuanzia Twitter, Facebook na kwingine kooote, hakikisheni mnasambazo haya matangazo ya michango kupitia simu.
Nimeshtuka hata kwenye page ya Chadema ya Twitter yenye followers laki tatu na ushee hamjaweka matangazo ya kuchangiwa pesa!!!

Fanyieni kazi haya

Yani mimi nachukia naona kama hapo kwenye media wako nyuma. Hata kupost matukio ya mgombea Urais hawako on time. Nini kinaendelea kwenye kitengo cha habari Chadema? Mbona watu wamesema sana tangu mwanzo ila hapafanyiwi kazi? Mnategemea wakereketwa wa chama ndio wahangaike wakati kitengo kipo?
 
Leo ndio atazindua sera zake? Lisu watu walivyotarajia sio kabisa. Uchaguzi huu ni mwepesi sana kwa Magufuli.
 
Rais Mtarajiwa wa Tanzania ambaye pia ni Mgombea Urais wa Chadema Mh Tundu Lissu, ambaye wachambuzi wa kisiasa wanamkadiria kujinyakulia zaidi ya 70% ya kura zote, leo tena anaingia kwenye viwanja vya Tanganyika Packers kuongea na wananchi.


Tunasubiri picha za Tbccm kama za jana, leo msiwafukuze kabisaa hao wazalendo
 
Back
Top Bottom