Manjagata
JF-Expert Member
- Mar 7, 2012
- 13,942
- 15,371
Hakuna kitu kama hicho! Kuna mdau kunitumia picha kuna nyomi la kufa mtu!Anaficha aibu akipiga nyuma Ni aibu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna kitu kama hicho! Kuna mdau kunitumia picha kuna nyomi la kufa mtu!Anaficha aibu akipiga nyuma Ni aibu
Achana na mdau wako sisi tunataka huyo anayeonyesha live azungushe kamera nyuma huyo wako baki nayeHakuna kitu kama hicho! Kuna mdau kunitumia picha kuna nyomi la kufa mtu!
2020 itakuwa wanafanya social distancing na wengi wako lockdown majumbani kwao wakitii maelekezo ya kamanda mkuu wao.Hapo Ni hapa[emoji116]View attachment 1551689View attachment 1551690
Bora nyie.sisi mpaka muda huu hapa dodoma posho zetu hatujalipwa na polepole hapokei simu.View attachment 1551994
mara tatu watu wameingia kuanzia saa 3 alikuwa ana change daipa kila baada ya saa😂😂Acha kutuwekea picha za ile CCM ya kuchekacheka ambayo bado ilikuwa ikiwapiga upinzani nje ndani. Tuwekee picha za leo Dodoma za CCM ya hapa kazi.
Kwa nyomi ya CCM Dodoma leo Robertison wa Lissu atakuwa kabadilisha daipa mara tatu tatu
NiYeye2020 hatutaki UDIKTETA
Matapeli wa kisiasa kupitia mitandao ya simu. Ukienda kwenye mkutano wa kampeni ukasikia mgombea Urais anakuambia toa simu yako na kuanza kukuelekeza jinsi ya kutuma miamala ya fedha hakikisha unazima simu yako mara moja na ondoka katika enro ka tukio hilo la mkutano haraka iwezekanavo.
Mkuu wewe ni mkazi wa Dar? Tuanzie hapo kwanza? Umepita pale mbezi leo?yule police anayeongoza magari leo umeona ana v ngapi?Kwa hiyo toka Goba Hadi Kawe Ni mwendo wa masaa sita?
Iweke hapa mkuuHakuna kitu kama hicho! Kuna mdau kunitumia picha kuna nyomi la kufa mtu!
Hata hii jana mlisema ni mchana, picha ilikuwa live jioni TBC, angalia vivuli vinaonesha jua likielekea kuzama yaani ni kuelekea mwisho wa mkutano. View attachment 1552016
Mkuu wewe ni ke au me? Yaani kuelekezwa tu namna ya kuchangia kwa hiari yako wewe mwenyewe wewe unazima simu na kukimbia? Inaonekana hata kule kanisani wewe ukiletea kikapu Cha sadaka wewe unatimua mbioMatapeli wa kisiasa kupitia mitandao ya simu. Ukienda kwenye mkutano wa kampeni ukasikia mgombea Urais anakuambia toa simu yako na kuanza kukuelekeza jinsi ya kutuma miamala ya fedha hakikisha unazima simu yako mara moja na ondoka katika eneo la tukio hilo la mkutano haraka iwezekanavo. Wako wenzako miaka ya nyuma wameshaumizwa sana kwa aina hii ya utapeli, usidanganyike-hatudanganyiki.