Uzinzi ni gharama kubwa, kama wewe sio risk taker tulia kwa mkeo uwaachie wababe

mzabzab na jiwe angavu naona mmesimama kidete kwel kwel kutetea walio wengi ambao humu wanapita kimya kimya ila wanawaunga mkono kwa dhat ya mioyo yao ila kwa unafik hawatak kujitokeza.Ngono inapendwa na weengi jamani tuseme tu ukwel mwanamke mmoja kwa mwanaume asiye na shida kiafya wala hamtoshelezi..Siungi mkono zinaa ila huo ndio ukweli.. cha msingi omba Mungu akuepushe na magonjwa na mabalaa ya zinaa ila wengi tunafanya kwakua ndio bas tu ni nature..

Beesmom leo naona umekaa kwa kutulia humu ndani 😂😂😂
 
Wewe ukitaka kujua kuwa watu wanapenda uzinzi angalia revenue za porn industry. Yaani ni more than nba, mlb na nfl combined.

Sijamuona mlenzi wangu Demi hapa mpaka sasa. Sijui anagegedana huko alipo
 
Kwa sababu huo ndo uhalisia wangu.....kuchangia kuhusu kupeana moto ni mjuaji Sana lakini si mwepes kwenye utekelezaji😉
 
"Mchinjani mbobevu hatishiki kwa damu ya mnyama"

Sent from my TECNO KC6 using JamiiForums mobile app
 
bora umesema ww wengine wajifunze...kupenda pesa tu bila kuzijua zinatoka wp ni hatari kwa afya yako
 
Akili inataka.
Moyo unataka.
Mwili unataka.
Mazingira yanashawishi.
Ndio matumizi ya pesa.
Kwasababu nafanya kazi...
Wakuu me nafanya ninachoona sahihi kitakachotokea ntajua mbele.
 
Sasa wale wanaozaa nje na kupata watoto ambao wengine wnakuwa hata mawaziri, inakuwaje hapo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…