Uzinzi ni gharama kubwa, kama wewe sio risk taker tulia kwa mkeo uwaachie wababe

Uzinzi ni gharama kubwa, kama wewe sio risk taker tulia kwa mkeo uwaachie wababe

Screenshot_20220826-092215_Chrome.jpg
 
mzabzab na jiwe angavu naona mmesimama kidete kwel kwel kutetea walio wengi ambao humu wanapita kimya kimya ila wanawaunga mkono kwa dhat ya mioyo yao ila kwa unafik hawatak kujitokeza.Ngono inapendwa na weengi jamani tuseme tu ukwel mwanamke mmoja kwa mwanaume asiye na shida kiafya wala hamtoshelezi..Siungi mkono zinaa ila huo ndio ukweli.. cha msingi omba Mungu akuepushe na magonjwa na mabalaa ya zinaa ila wengi tunafanya kwakua ndio bas tu ni nature..

Beesmom leo naona umekaa kwa kutulia humu ndani 😂😂😂
 
mzabzab na jiwe angavu naona mmesimama kidete kwel kwel kutetea walio wengi ambao humu wanapita kimya kimya ila wanawaunga mkono kwa dhat ya mioyo yao ila kwa unafik hawatak kujitokeza.Ngono inapendwa na weengi jamani tuseme tu ukwel mwanamke mmoja kwa mwanaume asiye na shida kiafya wala hamtoshelezi..Siungi mkono zinaa ila huo ndio ukweli.. cha msingi omba Mungu akuepushe na magonjwa na mabalaa ya zinaa ila wengi tunafanya kwakua ndio bas tu ni nature..

Beesmom leo naona umekaa kwa kutulia humu ndani 😂😂😂
Wewe ukitaka kujua kuwa watu wanapenda uzinzi angalia revenue za porn industry. Yaani ni more than nba, mlb na nfl combined.

Sijamuona mlenzi wangu Demi hapa mpaka sasa. Sijui anagegedana huko alipo
 
mzabzab na jiwe angavu naona mmesimama kidete kwel kwel kutetea walio wengi ambao humu wanapita kimya kimya ila wanawaunga mkono kwa dhat ya mioyo yao ila kwa unafik hawatak kujitokeza.Ngono inapendwa na weengi jamani tuseme tu ukwel mwanamke mmoja kwa mwanaume asiye na shida kiafya wala hamtoshelezi..Siungi mkono zinaa ila huo ndio ukweli.. cha msingi omba Mungu akuepushe na magonjwa na mabalaa ya zinaa ila wengi tunafanya kwakua ndio bas tu ni nature..

Beesmom leo naona umekaa kwa kutulia humu ndani 😂😂😂
Kwa sababu huo ndo uhalisia wangu.....kuchangia kuhusu kupeana moto ni mjuaji Sana lakini si mwepes kwenye utekelezaji😉
 
Unamleta Dar demu kutoka Arusha, umemlipia tiketi ya ndege go and return, umelipa hoteli chumba super deluxe 150,000/, maandalizi kibao umeyafanya ambayo yamegharimu hasa kipato chako.

Umeenda airport kumpokea mchuchu, mashamsham kibao, halafu demu anakwambia ameanza kubleed wakati wa take off.

Unafanyaje mkuu? Utaendelea kulipia hoteli hadi amalize au utamrudisha na ndege ya kesho alfajiri?

Uzinzi una gharama kubwa sana, kuanzia kimwili, kiafya, kiroho, kiuchumi na kiakili.

Uzinzi unachakaza mwili, unazeeka haraka. Pia uzinzi ni lango la magonjwa mengi yatakayokufanya uingie hasara kubwa ya kifedha kuyatibu.

Pia uzinzi unaweza kukuvunjia heshima kwa watu wanaokuzunguka na jamii yako kwa ujumla.

Uzinzi ni bonge la risk, kama sio risk taker tulizana tu.
"Mchinjani mbobevu hatishiki kwa damu ya mnyama"

Sent from my TECNO KC6 using JamiiForums mobile app
 
Mikosi nuksi na mabalaa, sio kila bwana anakugharamikia kwa kheri, mwingine anakuja kuiba nyota yako.

Pia wengi kwa kupenda vya bure wameuawa, wamedhalilishwa, wamebakwa, wamepigwa picha za uchi na madhila mengi wamefanyiwa.

Mi nilipata mbaba mmoja ana mijipesa hake ya haja. Akawa ananihonga hadi milioni tano, kumbe ana lake jambo.

Kunitongoza hanitongozi ila anataka tukae wote hadi usiku mkubwa.

Siku moja akaniambia leo utalala kwangu, nikamwambia sawa. Basi tukaenda hadi kwake, kilichonipata sitaki kusimulia
bora umesema ww wengine wajifunze...kupenda pesa tu bila kuzijua zinatoka wp ni hatari kwa afya yako
 
Akili inataka.
Moyo unataka.
Mwili unataka.
Mazingira yanashawishi.
Ndio matumizi ya pesa.
Kwasababu nafanya kazi...
Wakuu me nafanya ninachoona sahihi kitakachotokea ntajua mbele.
 
Unamleta Dar demu kutoka Arusha, umemlipia tiketi ya ndege go and return, umelipa hoteli chumba super deluxe 150,000/, maandalizi kibao umeyafanya ambayo yamegharimu hasa kipato chako.

Umeenda airport kumpokea mchuchu, mashamsham kibao, halafu demu anakwambia ameanza kubleed wakati wa take off.

Unafanyaje mkuu? Utaendelea kulipia hoteli hadi amalize au utamrudisha na ndege ya kesho alfajiri?

Uzinzi una gharama kubwa sana, kuanzia kimwili, kiafya, kiroho, kiuchumi na kiakili.

Uzinzi unachakaza mwili, unazeeka haraka. Pia uzinzi ni lango la magonjwa mengi yatakayokufanya uingie hasara kubwa ya kifedha kuyatibu.

Pia uzinzi unaweza kukuvunjia heshima kwa watu wanaokuzunguka na jamii yako kwa ujumla.

Uzinzi ni bonge la risk, kama sio risk taker tulizana tu.
Sasa wale wanaozaa nje na kupata watoto ambao wengine wnakuwa hata mawaziri, inakuwaje hapo?
 
Back
Top Bottom