Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Msongo wa mawazo lazima ukupate mkeo akijua umeisha sasa shida yote hii ya nini kama hujaoa tulia muombe Mungu chagua mrembo haswa izawadie nafsi yako .Uzinzi haujawahi kuwa na matokeo mazuri
Ukimsoma mleta mada katikati ya mistari unaiona furaha kwa huyo mtu yakimtokea aliyoyandika?what if mtu apata amani na furaha pia kwa kufanya huo mnaoita uzinzi?
Wewe ukitaka kujua kuwa watu wanapenda uzinzi angalia revenue za porn industry. Yaani ni more than nba, mlb na nfl combined.mzabzab na jiwe angavu naona mmesimama kidete kwel kwel kutetea walio wengi ambao humu wanapita kimya kimya ila wanawaunga mkono kwa dhat ya mioyo yao ila kwa unafik hawatak kujitokeza.Ngono inapendwa na weengi jamani tuseme tu ukwel mwanamke mmoja kwa mwanaume asiye na shida kiafya wala hamtoshelezi..Siungi mkono zinaa ila huo ndio ukweli.. cha msingi omba Mungu akuepushe na magonjwa na mabalaa ya zinaa ila wengi tunafanya kwakua ndio bas tu ni nature..
Beesmom leo naona umekaa kwa kutulia humu ndani 😂😂😂
We unadhani sababu sampuli hizo peke yake zinatosha kuvalidate kuwa uzinziuna mwisho mbaya? mwisho mzuri mmewahi kuuona?Ukimsoma mleta mada katikati ya mistari unaiona furaha kwa huyo mtu yakimtokea aliyoaandika?
Kwa sababu huo ndo uhalisia wangu.....kuchangia kuhusu kupeana moto ni mjuaji Sana lakini si mwepes kwenye utekelezaji😉mzabzab na jiwe angavu naona mmesimama kidete kwel kwel kutetea walio wengi ambao humu wanapita kimya kimya ila wanawaunga mkono kwa dhat ya mioyo yao ila kwa unafik hawatak kujitokeza.Ngono inapendwa na weengi jamani tuseme tu ukwel mwanamke mmoja kwa mwanaume asiye na shida kiafya wala hamtoshelezi..Siungi mkono zinaa ila huo ndio ukweli.. cha msingi omba Mungu akuepushe na magonjwa na mabalaa ya zinaa ila wengi tunafanya kwakua ndio bas tu ni nature..
Beesmom leo naona umekaa kwa kutulia humu ndani 😂😂😂
Acha basi kuanza kutupiga kamba zisizoumizaKwa sababu huo ndo uhalisia wangu.....kuchangia kuhusu kupeana moto ni mjuaji Sana lakini si mwepes kwenye utekelezaji😉
"Mchinjani mbobevu hatishiki kwa damu ya mnyama"Unamleta Dar demu kutoka Arusha, umemlipia tiketi ya ndege go and return, umelipa hoteli chumba super deluxe 150,000/, maandalizi kibao umeyafanya ambayo yamegharimu hasa kipato chako.
Umeenda airport kumpokea mchuchu, mashamsham kibao, halafu demu anakwambia ameanza kubleed wakati wa take off.
Unafanyaje mkuu? Utaendelea kulipia hoteli hadi amalize au utamrudisha na ndege ya kesho alfajiri?
Uzinzi una gharama kubwa sana, kuanzia kimwili, kiafya, kiroho, kiuchumi na kiakili.
Uzinzi unachakaza mwili, unazeeka haraka. Pia uzinzi ni lango la magonjwa mengi yatakayokufanya uingie hasara kubwa ya kifedha kuyatibu.
Pia uzinzi unaweza kukuvunjia heshima kwa watu wanaokuzunguka na jamii yako kwa ujumla.
Uzinzi ni bonge la risk, kama sio risk taker tulizana tu.
Kwanini,ulinitongoza ukanila? Easy bas,easy bro.Siku hazifanani Leo sina mood ya kuchekacheka hata kidogo.I beg youAcha basi kuanza kutupiga kamba zisizoumiza
bora umesema ww wengine wajifunze...kupenda pesa tu bila kuzijua zinatoka wp ni hatari kwa afya yakoMikosi nuksi na mabalaa, sio kila bwana anakugharamikia kwa kheri, mwingine anakuja kuiba nyota yako.
Pia wengi kwa kupenda vya bure wameuawa, wamedhalilishwa, wamebakwa, wamepigwa picha za uchi na madhila mengi wamefanyiwa.
Mi nilipata mbaba mmoja ana mijipesa hake ya haja. Akawa ananihonga hadi milioni tano, kumbe ana lake jambo.
Kunitongoza hanitongozi ila anataka tukae wote hadi usiku mkubwa.
Siku moja akaniambia leo utalala kwangu, nikamwambia sawa. Basi tukaenda hadi kwake, kilichonipata sitaki kusimulia
Sasa wale wanaozaa nje na kupata watoto ambao wengine wnakuwa hata mawaziri, inakuwaje hapo?Unamleta Dar demu kutoka Arusha, umemlipia tiketi ya ndege go and return, umelipa hoteli chumba super deluxe 150,000/, maandalizi kibao umeyafanya ambayo yamegharimu hasa kipato chako.
Umeenda airport kumpokea mchuchu, mashamsham kibao, halafu demu anakwambia ameanza kubleed wakati wa take off.
Unafanyaje mkuu? Utaendelea kulipia hoteli hadi amalize au utamrudisha na ndege ya kesho alfajiri?
Uzinzi una gharama kubwa sana, kuanzia kimwili, kiafya, kiroho, kiuchumi na kiakili.
Uzinzi unachakaza mwili, unazeeka haraka. Pia uzinzi ni lango la magonjwa mengi yatakayokufanya uingie hasara kubwa ya kifedha kuyatibu.
Pia uzinzi unaweza kukuvunjia heshima kwa watu wanaokuzunguka na jamii yako kwa ujumla.
Uzinzi ni bonge la risk, kama sio risk taker tulizana tu.
Ni kweli lkn na kufa kwa kuteseka na maradhi ni kubayaa mnooohamna faida ya kuingia kaburini na afya njema🤣🤣🤣🤣🤣
Sawa ila bora nife kwa kuteseka na maradhi ila utamu wa dunia nimeula ipasavyoIn kweli lkn na kufa kwa kuteseka na maradhi no kubayaa mnooo