Uzuri wa Paul Makonda ni kiongozi mwenye Mamlaka popote anafiti kundi kubwa la watu litahamia Arusha sasa

Uzuri wa Paul Makonda ni kiongozi mwenye Mamlaka popote anafiti kundi kubwa la watu litahamia Arusha sasa

ARUSHA - : MAKONDA KARIBU KAMA MTUMISHI WA SERIKALI, ILI TUKUPATIE USHIRIKIANO


View: https://m.youtube.com/watch?v=8x4wuLp0pYs

Mambo muhimu ya kipaumbele ni kurejesha soko la Tanzanite Arusha, soko la Mererani la Tanzanite limeshindwa kuiletea mapato mengi serikali kama lilivyokuwa hapa Arusha, wakaazi wasema takwimu hazidanganyi hivyo alishughulikie suala hili mapema.

Eneo jingine mbali na madini ni kilimo na utalii ndiyo injini ya uchumi wa Arusha.

Pia kuelekea chaguzi za serikali za vijiji na mitaa 2024 na uchaguzi 2025 wakaazi wamwambia mkuu wa mkoa awe makini kutoa haki na akifanikiwa hayo yaani madini, kilimo, utalii na uchaguzi wa haki basi Paul Makonda atapata ushirikiano mzuri ila kinyume na vipaumbele hivyo hawatasita kumueleweshe kwa kumuambia ukweli.....

huyu jamaa uchaguzi ujao anaweza kuchomoa bandama la mtu,duh,,haaa,,!
 
Watu wa Arusha popote mlipo chuma hiki hapa wakuu. Wakati wenu kupata maendeleo ndio huu.
View attachment 2953691
Uzuri wa Paul Makonda ni kiongozi mwenye Mamlaka popote anafiti.

Utabiri wangu ni kwamba kundi kubwa la watanzania litahamia Arusha sasa.

Anajua kucheza na nafasi yake.

Kiukweli Arusha inakwenda kuwa maarufu kuliko Dar es Salaam.

Mitandao yote itafulika likes, na comments. Sio instagram, Facebook, X, Threads, na hapa jamii forum ndio kabisa.

Tunao subiri hotuba ya kwanza ya Bwana Paul Makonda akiwa Arusha gonga like.



Kama unahitaji kwenda China kwa siku 15 ukilala, kula na kujifunza fursa mbalimbali bure katika jiji kubwa lenye biashara na viwanda ni whatsapp kwa 0687746471 au bonyeza hii link ScholarshipJunctionX | WhatsApp-Kanal
NDIO MAANA HATA KUMPIGA MAKOFI MZEE WARIOBA ALIFITI
 
Arusha tumepata jembe. Kwa muda mfupi amewezesha mengi hapa mkoani. Watalii wameongezeka maradufu. Pia, miundombinu imeimarika.


...... Kichaa mwingine huyu, mtu hata ajaingia oficin anapongezwa kwa maendeleo
 
Arusha tumepata jembe. Kwa muda mfupi amewezesha mengi hapa mkoani. Watalii wameongezeka maradufu. Pia, miundombinu imeimarika.
Nawapongeza zaidi watu wa Arusha, kwa kua tayari kufanya kazi kwa kwa bidii sana kwa kushirikiana na mkuu wa mkoa mpya ndugu Makonda 🐒
 
Arusha tumepata jembe. Kwa muda mfupi amewezesha mengi hapa mkoani. Watalii wameongezeka maradufu. Pia, miundombinu imeimarika.
Aloo,huyo si ndo kwanza kafika anajitambulisha?
Umevuta bangi mbichi nini
 
Arusha tumepata jembe. Kwa muda mfupi amewezesha mengi hapa mkoani. Watalii wameongezeka maradufu. Pia, miundombinu imeimarika.
Kaka uache uchawa, mtu ndio kaingia ofisini jana watalii wameongezeka wapi? Miundombinu imeimarika vip?

kavikuta vipo na ataviacha
 
Arusha tumepata jembe. Kwa muda mfupi amewezesha mengi hapa mkoani. Watalii wameongezeka maradufu. Pia, miundombinu imeimarika.
Amekuwa Aladin wa Alfu lela u lela na taa yake ya ajabu?
 
Back
Top Bottom