Huyo ni lazima atakuwa wa deshdesh😂😂😂Mimi kuna katoto nakapenda sana huwa mshua wake anakapost huyo ndio Valentine wangu aisee.!! 🥰
Ningemtaja ila kuna mijitu mtasema nampenda baba mtu humu ndani hamna dogo…!! 😹😹😹
WananiuziJamani shida nini??
😹😹😹 Umekosea nipe mjiHuyo ni lazima atakuwa wa deshdesh😂😂😂
Toka huko😄😄,. Wacha nirudi kabla vijana hawajanza kusogelea meza yangu😬Endelea jirani nimependa ulivyochangamka 😹
Gari niipate wapi mimi rafiki😑Huna gariii
Nilijua tu ungekuja 😹🤣🤣Huyo ni lazima atakuwa wa deshdesh😂😂😂
Jirani mwambie muhudumu akuongeze nyingine bill kwangu 😹😹Toka huko😄😄,. Wacha nirudi kabla vijana hawajanza kusogelea meza yangu😬
🤣🤣🤣🤣Si najua unavyo mhype mtoto wa deshdesh.....Nilijua tu ungekuja 😹🤣🤣
Umeitafuta comment yangu mpk umeiona khaaa..!!
🥰View attachment 3232554kweli aijatia timu kwenye viwanja siku nyingi. Huyo Budweiser burudani ya wapi mweshiniwa?
Shindwaaa shetani,. Tatizo zinashukaga chini ooohJirani mwambie muhudumu akuongeze nyingine bill kwangu 😹😹
Chukua Njombe😂😂😂😂😹😹😹 Umekosea nipe mji
Kweli kale katoto nakapenda ni kazuri sana 😍🥰🤣🤣🤣🤣Si najua unavyo mhype mtoto wa deshdesh.....
😹😹 Njombe sipataki kuna baridi kaliChukua Njombe😂😂😂😂
POleGari niipate wapi mimi rafiki😑
14 mwezi 2 tafuta kifuta chashoTarehe ngapi hiyo, naomba unikumbushe madam.
We se Mbilinyi hupataki kwenu?😹😹 Njombe sipataki kuna baridi kali
Nyumbani unawahi kufanya nini? Hebu mpe simu muhudumu niongee nae kwanza 😹😹Shindwaaa shetani,. Tatizo zinashukaga chini oooh
Ngoja nifike kwanza Nyumbani ndio niendelee kucomment
🤣🤣🤣🤣🤣Mi pia, maana haya Sasa matusi 😂😂
View attachment 3232661
Mbona pole kavu sana😔😔POle