Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 182,097
- 1,099,383
Sasa nirudi kwetu kufanya nini? Si ungenipa hata kwa Trump πΉπΉWe se Mbilinyi hupataki kwenu?
Ni kazuri sana uongo dhambi....kwani hukuzisave ukikamiss unakaangalia ka aunt akeπππKweli kale katoto nakapenda ni kazuri sana ππ₯°
Umemtibua mpk siku hizi hanitumii pics za auntie yangu nimuone Mtseeww πΉπΉπ€£π€£
Da Evelyn Salt unaitwa πΉπΉMama E.
Wewe ni binadamu wa kipekee sana.
Wewe ni rafiki yangu wa kweli.
Wewe unayajua maisha mno.
Wewe ni mwanamke wa Mithali 31
Wewe ni mshikaji wangu wa kudumu!
Wewe ni ua waridi lenye fumbo
Wewe ni shairi tamu litoneshalo mtima
Wewe ni hadithi tonofu isiyo na mwisho
Oooh! Binti mwema asiye na mawaa
Mpendwa wangu nipendezwaye naye.
Happy Valentines rafiki yangu mwema. Mungu Akubariki na Azidi kukulinda.
Mimi nitakupenda na kukuenzi daima.
Upo! Nipo! Tupo! ππΏππΏππΏπππ
View attachment 3232669
Asante kwa kuokoa maisha yangu. Sitasahau kamwe! ππΏ
Hahahπππ,. Mji una vijana wa hovyo sana huu mwisho kujichanganya nikaonekana kwenye gazeti kesho., Wacha niwahi naona Boda wangu kashakuja ππNyumbani unawahi kufanya nini? Hebu mpe simu muhudumu niongee nae kwanza πΉπΉ
Ila wasukuma mna mahaba jamani...Mama E.
Wewe ni binadamu wa kipekee sana.
Wewe ni rafiki yangu wa kweli.
Wewe unayajua maisha mno.
Wewe ni mwanamke wa Mithali 31
Wewe ni mshikaji wangu wa kudumu!
Wewe ni ua waridi lenye fumbo
Wewe ni shairi tamu litoneshalo mtima
Wewe ni hadithi tonofu isiyo na mwisho
Oooh! Binti mwema asiye na mawaa
Mpendwa wangu nipendezwaye naye.
Happy Valentines rafiki yangu mwema. Mungu Akubariki na Azidi kukulinda.
Mimi nitakupenda na kukuenzi daima.
Upo! Nipo! Tupo! ππΏππΏππΏπππ
View attachment 3232669
Asante kwa kuokoa maisha yangu. Sitasahau kamwe! ππΏ
Asante Sana mkuu, imagine being KATAA NDOA & jobless valentine lazima Inoge sanaNawatakia valentine njema Wana jamii forum wote wake kwa waume pamoja na familia zenu..... Bila kusahau wakaka na wadada,, kataa ndoa wote pamoja na ma jobless wote happy valentine kwenu nyote.
Dahhh πππDa Evelyn Salt unaitwa πΉπΉ
Umeona na wewe kalivyo kashunu kale katoto? Pale bro alijua kufanya kweli, apate na mishepu ya auntie zake ya kibantu mbona itakuwa balaa π₯°π₯°Ni kazuri sana uongo dhambi....kwani hukuzisave ukikamiss unakaangalia ka aunt akeπππ
πΉπΉπΉDahhh πππ
Jichanganye uone...ila tu uwe mweupe na mwenye tako!Ila wasukuma mna mahaba jamani...
Nmeona kaandika mama E ila picha imesomeka mamaeee ππΉπΉπΉ
ππππππDa Evelyn Salt unaitwa πΉπΉ
Eeh hii umeiweka kicode sana, funguka shost π[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] JF ni Msitu, sio kichaka tena.
Sent from my Infinix X669 using JamiiForums mobile app
Ni wewe sema anatuogopa wambea πΉπΉNmeona kaandika mama E ila picha imesomeka ***** π
Mambo yasiwe mengi wambea tunazoom πΉπΉππππππ
Mimi sitaki kujichanganya.....nawaombea kila lenye heri na mama E wako.....mpendane sanaaaJichanganye uone...ila tu uwe mweupe na mwenye tako!
Hapa nimetoka kuuza malori mawili ya ng'ombe pale Pugu. We acha tu! π
β‘οΈβ‘οΈβ‘οΈ On a serious note: Mama E aliokoa maisha yangu tena kwa kujitolea sana. Mwanamke kama huyo utamlipa nini mbali na kumpenda na kumheshimu sana?
Amen ππΏππΏππΏMimi sitaki kujichanganya.....nawaombea kila lenye heri na mama E wako.....mpendane sanaaa