Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Inatakiwa kuwa makini.Unaweza kumtakia Valentine njema marehemu badala ya kumuombea dua njema aende mbinguni.Valentine hiyoo inakuja usikose maua na chocolate mwambie nakupenda ili muende VALENTINE.
Usikae mwenyewe kama mshumaa umejifungia, huu uzi kwa ajili yenu.
Fungukeni mukasherekee kwa pamoja.
Hahahaha..duhMi sitaki nguvu za kiume mi nataka hela🤣🤣🤣🤣
Hahahaha , ukiona umechuniwa wiki hii ujue hauko ktk mipango yakoTime ya kujua mbivu na mbichi ndo hii sasa
Pole numbisa naweza kuwa yanga yako mpyaValentine imeharibiwa na Yanga. Aaah maumivu tupu
Nimechelewa kuiona, kushakucha ndugu yangu.Sawa kaka
Usikumwema
Ah wee jf mbususu mbona zinalika kabisaSeriously question, humu kweli kabisa watu hua wanakutana na kugongana kabisa kabisa au ni flirts tu za kwenye meseji? 🤔🙁
Uje pm Asante haitoshiAsantee
😂😂😂natania my wanguHahahaha,,doh
Kwani tumeachana?Huu Uzi Kuna Cha kujifunza hapa ,Kwa sie tusiokua na sifa za kuwa na valentine
JichanganyeMapenzi kikohozi nimeficha ficha ila nimechoka oho. Oho oho oho ephen_ kama upo singo funguwa moyo upokee upendo wangu.
Unanipima au😂😂😂
Unapimika ww🤣🤣🤣🤣Unanipima au😂😂😂
Wewe macho yangu umeyaona wapi?Unapimika ww🤣🤣🤣🤣
napenda macho yako, and
I Like your free spirit🤩