Ubungo Mataa
JF-Expert Member
- Nov 24, 2018
- 411
- 725
Kiza kinene na watu wamejawa na roho mbaya...the one you love has an x, even you got an x.
Everyone got an x, in the end we are all x mens and women 😂😂
View attachment 3232583
Hahahaha Hamisi mwaga Michele.Ningemtaja sema hapendi shobo
UnanifurahishaUsijali mkuu😂
Ajisikie vizuri kwani mgonjwa? 😹UKo vzr umeiweka kikubwa zaidi.😀
Sema ungemtaja angrjisikia vzr.
Kiaje baeUnanifurahisha
Kumbe jirani una koloni lako na husemi? 😹Mie nampenda huyu hapa kijana kampelewele ,. Japo yeye hanipendi tena😔
Kwani we humjui😁Hahahaha Hamisi mwaga Michele.
Fallah we 😹Mwisho leo jamani kunyoa vuzi
Bora lingekuwa koloni,. Huyu ndege namfukuzia siku Mingi wajanja washanizidi maarifa😔Kumbe jirani una koloni lako na husemi? 😹
Shem darling unafichwa sana now days!!
Sijui niseme au basi 😹Seriously question, humu kweli kabisa watu hua wanakutana na kugongana kabisa kabisa au ni flirts tu za kwenye meseji? 🤔🙁
Kumbe ni pombe? Kuna mtu alikua ananiita hili jina, pumbavu zake.[emoji3059]View attachment 3232554
Weeeh 😹😹😹Bora lingekuwa koloni,. Huyu ndege namfukuzia siku Mingi wajanja washanizidi maarifa😔
Kuna Aljazeera shazi wapo Active waione hiyo jina waione Mama.e.Kwani we humjui😁