Vibanda vilivyowekwa kando ya barabara Jijini Dar es Salaam kuondolewa

Gari la tangazo linapita kutangaza ya kuwa ifikapo tarehe 18 mwezi huu hakitakiwi kibanda chochote kuonekana kando kando ya barabara katika jiji la Dar es salaam.
UKIHAMA ULIPOPANGA KABLA YA KUJENGA NYUMBA YAKO USILALAMIKE
 
Hizi akili za kibavicha hatari, sasa hujui ukimbimolea kesho atakuvamie akuibie hata kandambili nyumbani kwako
 
🔔Watafutiwe sehemu kwani wao ni akina nani?

🔔Wale vijana wenzao vijijini wanatafutiwa mashamba ya kulima na nani?

🔔Wale waliomaliza vyuo na shule mbalimbali wanatafutiwa kazi na nani?

🔔Kuna watu wana mamitji makubwa hawataki kukodi frem ati wao ni machinga watfutiwe eneo

🔔 Utaratibu wa mipango mji uheshmiwe na kila anayekuja mjini ajue anakuja kuishi vipi na sio kuanza kulalamika na kujiona wao ni kundi flani vulnerable ambalo linahitaji kutokufuata sheria lihurumiwe na kila mtu na liwe mzigo kwa serikali enyi WAMACHINGA na BODADODA ninyi ni akina nani?
 
Umewahi kufanya kazi katika kampuni za wahindi?. toka zamani wao wanaleta wahindi wenzao kufanya kazi hata ya ulinzi. Kuleta wafanyakazi haijaanza leo. je unafikiri watanzania hawana sifa, wavivu au hawaaminiki?
 
Hapo sasa ccm na maisha ya watanzania yataimarika sana..

Tutegemee chadema kuanza kutetea wamachinga?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…