Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
Hahaa...yes...sina kazi ngumu...so najitahidi kidg kutembea😪Kula ni vizuri, ingawa unatakiwa tu ujiepushe kula kula hasa kama kazi zako siyo za kutumia nguvu.
Mimi ulaji wangu wa kusuasua sana ( labda kwasababu sijui kupika🤣)...
Bas ww bado mdogo sana au la hujui size za viuno...kuna kipindi nilikua nauzaga jeans size zilikua zinaanzia 22 kama sikosei..kiuno sijawahi pima karbuni. ila nkinunua suruali mi navaa size 20
Duh tite mimi had wanangu hawataki kbs nw😆😆😬😬 waka trauza za kutoboka mwanangu anakataa anasema mama ngozi inaonekana..anakuletea kitenge..na nnazo mob nawaza nigawe kwa nani!...tite big no aisee...!Kutokua na mpaka ndo aje? mm navaa suruali na nanoga sina unene huo wa kutovaa, navaa had tight ndefu mm
22 inanipwaya, kuna muda had size 18 inapitagaBas ww bado mdogo sana au la hujui size za viuno...kuna kipindi nilikua nauzaga jeans size zilikua zinaanzia 22 kama sikosei..
Hahahaa unashindia mtindi? Aku...siwezi mie hapa nimekula slace za maana 4 zina siagi karanga na chai ya haja ..nimeagiza ubuyu nile weee...saa 7 nakula lunch...saa10 naweza kaanga mayai nile na wanangu ..12 nakunywa maziwa moto(kuna baridi) saa2 dinner .! Kutoka hapo nakula bites had nalala🤸♂️Asante studio, m napika lakini naenda kugawa nikiwa alone ndo sili kabisa. juisi tu au mtindi i call it a day
ha ha ha nmecheka, kg inasoma 116 ss,nikiambia watu hawaaminiHujazidi sana,kumbe unapendezaga!?😁🥰😋😋
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] mie kiuno nw ni 34(kutoka 30)..hips nakaribia 50 huko(kutoka 44)! Acha tunenepe twende na SAMIA
weeee nikifanya hvyo nkaongeze size ya mlangoHahahaa unashindia mtindi? Aku...siwezi mie hapa nimekula slace za maana 4 zina siagi karanga na chai ya haja ..nimeagiza ubuyu nile weee...saa 7 nakula lunch...saa10 naweza kaanga mayai nile na wanangu ..12 nakunywa maziwa moto(kuna baridi) saa2 dinner .! Kutoka hapo nakula bites had nalala🤸♂️
DadeqHahahaa unashindia mtindi? Aku...siwezi mie hapa nimekula slace za maana 4 zina siagi karanga na chai ya haja ..nimeagiza ubuyu nile weee...saa 7 nakula lunch...saa10 naweza kaanga mayai nile na wanangu ..12 nakunywa maziwa moto(kuna baridi) saa2 dinner .! Kutoka hapo nakula bites had nalala[emoji2223]
ndo hvyo. ukimwambia mtu akisie anakwambia 100kg hvHata mm nakataa🤔
Niacheee🙃Dadeq
Mm siwez tembea daily..mara moha moja sana..ah sina presha wala bp ya nn kujitesaSimu nayotumia mm ina app inayokushauri km za kutembea kila siku kulingana na umri na uzito wako. Afu saa 22:00 inakupa ripoti
We ni mnene sana..hata mkono wako mnene balaa..mie mkono wangu ukiona dah...mwembamba ati🙃ha ha ha nmecheka, kg inasoma 116 ss,nikiambia watu hawaamini
Nn kimekushangaza? Nina fundi wangu ndo naonaga anaandika hvyoKiuno 34, hips 50 [emoji15][emoji39][emoji39]
Tutaaminije? Sema WATAJUAJE…!![emoji2957]
ni kweli ila ni mrefu pia am 172 cmWe ni mnene sana..hata mkono wako mnene balaa..mie mkono wangu ukiona dah...mwembamba ati🙃
Corona ilipita na mm vyema sana dk akasema punguA 20kgsSasa kinachofuata ni kuomba picha yako ili tuone mlo wako una kuathiri au uko sawa? Heb tuma kipande tu