Video: Huyu mstaafu aliwakosea nini Jeshi La Polisi? Kosa lake ni kukaa kijiweni?

Kwakweli Huwa wanatushangaa kwann hatuna kazi
Bora ww unaelewa
 
Raia wa Bongo ni bongolala wacha wapelekeshwe ili ziwakae sawa. Nchi gani ina raia wasiojitambua namna hii?
 
Kwani jeshi unastaafu kwa miaka mingapi? Miaka 54 kwa waajiliwa wa umma unatakiwa uwe kazini!
 
Huyo anayemhoji mwenzake ni RPC mstaafu mzee Mroto, mzee wa kipigo cha Mbwakoko, alikuwa RPC Dodoma kastaafu mwaka juzi 2022.
Ko hao ni wazee wawili
 

Maisha ya nchi hii, we hope for the best but expecting the worse!!
 
Huu askari atapitiaa magumu kuzidi huyo anaemdhalilishaa yani Karma huwa hasahauu.. kanikeraa sana huyo mbwaa kisa kavaa viuniform hivyo anajiona kafikaaa mbwa kabisaaaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…